Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
[emoji15][emoji30]Kuna mshkaj leo mchana ameuliwa(mwizi) , alaf mida hiix2 imejulikana kuwa alikuwa co mwizi ila dem wake alimuitia mwizi cjui walipishana kauli[emoji856]🥹 Vijan Kam kagoma kutoa mzigo kanunue
🤣🤣🤣🤣Wale mnaojidai mnawamaindi matolu shughuli imeanza 😂😂😂
Ni nzuri sana harafu wahuni inawapeleka jela ujue...Pwechele Tena?🤣🤣🤣🤣 you people mnaipa majina mengi Sana kitu yetu
Wakuu kuna habari mbaya Huko Tabata-Dar Es Salaam.
Anasimulia Ndugu wa Marehemu.
Piariz Charles Hizza ni mdogo wangu, alikuwaga humu Friends of Solo Mnamunga kipindi fulani simu yake ilipopata matatizo akatoka sikukumbuka kumrudisha tena.
Leo mida ya mchana nikapokea simu nikaambiwa dogo amejinyonga chumbani kwake, anaishi Tabata.
Lakini, polisi wakafika na wakachukua mwili na wakamchukua na mume wake mpaka staki shari.
Uchunguzi wa awali ukaonyesha Piariz amepigwa probably na mumewe labda na akaamua kumnyonga na kutudanganya amejinyonga ili kutupoteza maboya.
Tumekuta mwili ukiwa hauna nguo sakafuni zaidi ya kufunikwa shuka na una majeraha ya kipigo na ametoboka shingon.
Mumewe anasema amejinyonga kwenye feni, lakini kwa unene wa Piarizi hawez panda akakuta feni ajiue wakati mumewe kalala humo humo chumbani asijue
Dada wa kazi anasema ilipofika saa 1 au 2 akasikia wanagombana chumbani,kufika saa 3 akasikia kimya.
Kufika saa nne mume akatoka chumbani anali anamwambia dada yako amejinyonga..akaingia akakuta mwili sakafuni na watoto wakiwa wanalia. Solo
Oa bhanaNioe?
Mkono wangu mwepesi knm aisee. Hafu nina hasira za fasta. Nishawahi mkaba demu flani. Aisee, hadi leo najioneaga aibu. Siku hizi nikigombana nakimbia naacha ghetto narudi baadae nimepoa kdg. Naogopa kweli.Oa bhana
Watu hawafai, hadi wanatembea na milki za mapasta.Jamaa TOLU ,Black na ana MTONYO lakini MABAHARIA walikuwa wanatembea na BESELA la Mkewe.
Uwii una mkono wa kupiga rafiki? Uzuri ushajijua basi jikaliage zako singo tu.Mkono wangu mwepesi knm aisee. Hafu nina hasira za fasta. Nishawahi mkaba demu flani. Aisee, hadi leo najioneaga aibu. Siku hizi nikigombana nakimbia naacha ghetto narudi baadae nimepoa kdg. Naogopa kweli.
Kuna mdau hapo juu kasema, wanawake ni mitego ya shetani kutuingiza kwenye matatizo. Nimemuelewa sana!.Mkuu haya tunakutana nayo sana kweneye ndoa zetu. Yaani kuna wakati unaamua utoke na urudi usiku hasira zikiwa zimepoa. Kuna wakati wanatia hasira kwelikweli na haya madawati ya jinsia ukienda unaona kabisa mwanamke anapendelewa hata kama ana makosa yeye. Wengine wakifika pale wanalia balaa na uongo mwingi kwelikweli. Unazuia hasira na kwa sisi wa ngumu kumeza unageuza pub kuwa sebule yako baada ya muda wa kazi.
Mtaweka zamu ya kuleta uji na wali Segere aisee.Uwii una mkono wa kupiga rafiki? Uzuri ushajijua basi jikaliage zako singo tu.
Inaonesha alikuwa achezea vichapo Mara kwa Mara,maana naona ugoko hapo umeiva..
Naona wataiita kabati muda,si mrefu hahaaPwechele Tena?🤣🤣🤣🤣 you people mnaipa majina mengi Sana kitu yetu
Atakua anakuja National Anthem 😂😂Mtaweka zamu ya kuleta uji na wali Segere aisee.