Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

nachokijua ambacho serikali bado haitaki kutoa tamko ni kwamba tz kuna asilimia 40 ya watu wana ukichaa/ uchizi/depression/ umental inayowatafuna kutokana na namna ambavyo maisha yamekuwa na hawakutarajia, tunao hawa watu tupanda nao daladala, tunafanya nao kazi etc etc.na hiki kinachokumbwa ni kizazi cha mwaka 88 kuja 92, bila kufahamu mzizi wa changamoto hizi zinazotakana na ubovu wa malezi ya awali, kushindwa kuendana na mabadiliko ya kichumi, kuvamia ndoa bila kuwa na mafunzo basi tumepotea kama taifa. maisha sio lelemama, ndoa sio lelema, tuombee taifa na vijana dhidi ya mental cases.
 
Wakuu kuna habari mbaya Huko Tabata-Dar Es Salaam.

Anasimulia Ndugu wa Marehemu.

Piariz Charles Hizza ni mdogo wangu, alikuwaga humu Friends of Solo Mnamunga kipindi fulani simu yake ilipopata matatizo akatoka sikukumbuka kumrudisha tena.

Leo mida ya mchana nikapokea simu nikaambiwa dogo amejinyonga chumbani kwake, anaishi Tabata.

Lakini, polisi wakafika na wakachukua mwili na wakamchukua na mume wake mpaka staki shari.

Uchunguzi wa awali ukaonyesha Piariz amepigwa probably na mumewe labda na akaamua kumnyonga na kutudanganya amejinyonga ili kutupoteza maboya.

Tumekuta mwili ukiwa hauna nguo sakafuni zaidi ya kufunikwa shuka na una majeraha ya kipigo na ametoboka shingon.

Mumewe anasema amejinyonga kwenye feni, lakini kwa unene wa Piarizi hawez panda akakuta feni ajiue wakati mumewe kalala humo humo chumbani asijue

Dada wa kazi anasema ilipofika saa 1 au 2 akasikia wanagombana chumbani,kufika saa 3 akasikia kimya.

Kufika saa nne mume akatoka chumbani anali anamwambia dada yako amejinyonga..akaingia akakuta mwili sakafuni na watoto wakiwa wanalia. Solo


Jamaa TOLU ,Black na ana MTONYO lakini MABAHARIA walikuwa wanatembea na BESELA la Mkewe.
 
Mkuu haya tunakutana nayo sana kweneye ndoa zetu. Yaani kuna wakati unaamua utoke na urudi usiku hasira zikiwa zimepoa. Kuna wakati wanatia hasira kwelikweli na haya madawati ya jinsia ukienda unaona kabisa mwanamke anapendelewa hata kama ana makosa yeye. Wengine wakifika pale wanalia balaa na uongo mwingi kwelikweli. Unazuia hasira na kwa sisi wa ngumu kumeza unageuza pub kuwa sebule yako baada ya muda wa kazi.
Kuna mdau hapo juu kasema, wanawake ni mitego ya shetani kutuingiza kwenye matatizo. Nimemuelewa sana!.
Mimi mwenyewe nipo bar maana kwa mineno yake ,ningefanya jambo baya.
 
Moja ya jambo la hatari sana hasa kwa upande wa wanawake ni kujibishana na mwanaume anapokuwa amejawa na hasira. Kwa asili wanaume tumeumbwa sio waongeaji sana hivyo ni vema wanawake kutambua umuhimu wa kujishusha pindi waume zenu wanapokuwa katika hali ya hasira ili kunusuru uhai wenu hadi hasira zitakapopungua kisha mnayajenga vinginevyo hali itazidi kuwa mbaya sana.

Juma lililoisha rafiki yangu kwa mara ya kwanza katika ndoa yake iliyodumu kwa miaka zaidi ya 17 alimpiga mkewe vibaya sana kiasi cha kila mtu kubaki anashangaa imekuwaje.

Kwenye suluhu, ilionekana kwamba pamoja na mkewe kuwa kwenye upande wa haki lakini mdomo wake ulimponza. Mwanamke hapendi mumewe anywe pombe, sasa ni kwa namna gani anashawishi hilo litokee akajikuta anaangukia kwenye kipigo cha hatari mno na watoto wote walisimama na baba yao kwa kudai kuwa ni kweli baba anakunywa na sote hatupendi lakini majibizano baina ya baba na mama ilikuwa ni dhahiri mama angedundwa tu kwa maneno yake machafu dhidi ya baba.

Mdomo unatema maneno ova radio ya mkulia yenye battery mpya.....hakuna mwanaume anapendezwa na hiyo hali, na kwakuwa kuongea sana hatuwezi matokeo yake ni kama hivo kuuana chaaaah!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom