Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
OlewaNioe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OlewaNioe?
Mwanaume akichepuka, mara nyingi wanawake wanajua kutuliza jazba; ila mwanamke akichepuka huwa ni ngumu mwanaume kutuliza jazbaInawezekana mme alichepuka au alisingiziwa kuchepuka.
Umenena vema mkuuWanaume acheni kutembea na wake za watu. Hivi ndoa ikivunjika sababu yako unapataje amani ya moyo.
Watoto wa watu wakipoteza muelekeo sababu wazazi wametengana Yale maumivu ya mateso yao utabakia salama kweli?
Msiwe chanzo cha kuondoa furaha za watoto. Hao panyaroad ni revenge kwa Jamii kama matokeo ya familia kusambaratika. Unaweza usione leo madhara.
wanaganda hao hasa akiwa na mtoto cha bei yoteSo sad
Mdada mrembo mwenyewe sijui imekuaje!
Ila wanaume kama unaona network haikamati si unamwacha tu?why uue?
we hujui kuna muda wanawake wanayataka yote hayoMh bahati mbaya adi ana tundu shingoni?mana wamesema kampiga afu akamnyonga,huon alikusudia kabisa kumuua as si angeishia kwenye kumpiga tu?
Nakubaliana na hili,ingawa kamwe siungi mkono kufikia hatua ya kuuaUnajua mkuu wanawake huwa anakubadilisha kuua kwa majibu yake huenda jamaa alimkamata na sms za kuchepuka ila majibu yake ndo jamaa akapandisha moli
bado utaonekana mbaya , nkiwa mtoto nlimlaum sana baba kwa kumuacha mama ila nmekuwa nkaona hawa viumbe ni pasua kichwaYakinishinda nawaachia nyumba naenda zangu mbali huko huku nikiendelea kuitunza familia
wanawake wanatumia watoto km sehem kujiongezea kiburHuruma kwa watoto
Kuua ni kuua tuHuyu atakuwa kamuua bahati mbaya ndio maana alikuwa analia....
Utachapa hiyo lapa Hadi lini ? WANAWAKE punguzeni umalaya hamjagundua Tu wanawaume hatuvumilii usaliti hasa Kwa mke wa ndoa.Kwani umefungwa kamba, ukiona mtu ni msaliti chapa lapa ukaanze upya kuliko kujitia laana ya kuua. Pia hao watoto watanyanyasika maana bafo wadogo
Wanaume sijui mnakwama wapi mnashindwa kufanya maamuzi magumu. Mtu akikusaliti wewe achana nae kaendelee na mambo mengine
Bora lawama huku bado nipo huru kuliko nifanye ukatilibado utaonekana mbaya , nkiwa mtoto nlimlaum sana baba kwa kumuacha mama ila nmekuwa nkaona hawa viumbe ni pasua kichwa
Sijui watu tumekua kwenye mazingira tofauti ni bora niachane nae aendelee na maisha yake kuliko kumpiga mwanamke eti ndio namfundisha tabia sio kweli hawa wake zetu tumewakuta wakubwa kabisa leo utamfundisha kwa kumpiga? Na wengine unakuta anamjibu mme wake kama hawala yake inabidi ukae kwa kuzoea ukiona imezidi angalia mazingira ya kuwa alone kuliko kuja kupata kesi mbaya harafu hujui hata watoto wanaishije ukiwa ndani...Unajua mkuu wanawake huwa anakubadilisha kuua kwa majibu yake huenda jamaa alimkamata na sms za kuchepuka ila majibu yake ndo jamaa akapandisha moli
Kaondika na uzuri wake masikini.