Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

safi sana, dawa ya msaliti ndiyo hiyo

Masanja unakwama wapi ?
Kwani umefungwa kamba, ukiona mtu ni msaliti chapa lapa ukaanze upya kuliko kujitia laana ya kuua. Pia hao watoto watanyanyasika maana bafo wadogo

Wanaume sijui mnakwama wapi mnashindwa kufanya maamuzi magumu. Mtu akikusaliti wewe achana nae kaendelee na mambo mengine
 
Wanaume acheni kutembea na wake za watu. Hivi ndoa ikivunjika sababu yako unapataje amani ya moyo.
Watoto wa watu wakipoteza muelekeo sababu wazazi wametengana Yale maumivu ya mateso yao utabakia salama kweli?
Msiwe chanzo cha kuondoa furaha za watoto. Hao panyaroad ni revenge kwa Jamii kama matokeo ya familia kusambaratika. Unaweza usione leo madhara.
Uko sahihi sana Kalunya, matatizo mengi sisi wenyewe wanajamii ndiyo tunayatengeneza,its a never ending cycle, vizazi vyetu vitateketea tukiendelea kuishi ndani ya uovu, so tubadilishe kutokujali kwetu tuwe watu wenye kujali.
Mungu utusamehe sisi🙏🙏🙏turehemu Bwana aikate hii laana isiendelee kututafuna.
Yaani nimeumia kweli ukiwaangalia hao watoto, halafu ana wakubwa pia wote wanaubeba msalaba wa wazazi God😭😭
 
Ila wakuu shida ya wanawake kama unagombana nae au kuna kutokuelewana ndani hawa viumbe wanaongea haswa tena lugha chafu kama uwezi kujizuia hasira unaweza upige hadi uuwe kama huna moyo wa kuvumilia, nadhan ndo kilichomkuta jamaa😔😔
Mkuu haya tunakutana nayo sana kweneye ndoa zetu. Yaani kuna wakati unaamua utoke na urudi usiku hasira zikiwa zimepoa. Kuna wakati wanatia hasira kwelikweli na haya madawati ya jinsia ukienda unaona kabisa mwanamke anapendelewa hata kama ana makosa yeye. Wengine wakifika pale wanalia balaa na uongo mwingi kwelikweli. Unazuia hasira na kwa sisi wa ngumu kumeza unageuza pub kuwa sebule yako baada ya muda wa kazi.
 
Wakuu kuna habari mbaya Huko Tabata-Dar Es Salaam.

Anasimulia Ndugu wa Marehemu.

Piariz Charles Hizza ni mdogo wangu, alikuwaga humu Friends of Solo Mnamunga kipindi fulani simu yake ilipopata matatizo akatoka sikukumbuka kumrudisha tena.

Leo mida ya mchana nikapokea simu nikaambiwa dogo amejinyonga chumbani kwake, anaishi Tabata.

Lakini, polisi wakafika na wakachukua mwili na wakamchukua na mume wake mpaka staki shari.

Uchunguzi wa awali ukaonyesha Piariz amepigwa probably na mumewe labda na akaamua kumnyonga na kutudanganya amejinyonga ili kutupoteza maboya.

Tumekuta mwili ukiwa hauna nguo sakafuni zaidi ya kufunikwa shuka na una majeraha ya kipigo na ametoboka shingon.

Mumewe anasema amejinyonga kwenye feni, lakini kwa unene wa Piarizi hawez panda akakuta feni ajiue wakati mumewe kalala humo humo chumbani asijue

Dada wa kazi anasema ilipofika saa 1 au 2 akasikia wanagombana chumbani,kufika saa 3 akasikia kimya.

Kufika saa nne mume akatoka chumbani anali anamwambia dada yako amejinyonga..akaingia akakuta mwili sakafuni na watoto wakiwa wanalia. Solo

Majirani zangu hapa Tabata segerea Hawa,inasikitisha sana aisee!!!
 
Back
Top Bottom