Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Mwanamke achepuke ndio nimuue si namwacha aende kwao hawa watu wanaoua wanawekewa dawa nini mbona haingii akilini kabisa kuua kwa sababu ya pwechele...au wanakua wamerogwa na watu wasiowatakia ndoa njema kwa akili ya kawaida hawa wadogo hawawezi kuwa na maamuzi mazito hivyo huku wakiwa na watoto..
 
Mwanamke achepuke ndio nimuue si namwacha aende kwao hawa watu wanaoua wanawekewa dawa nini mbona haingii akilini kabisa kuua kwa sababu ya pwechele...au wanakua wamerogwa na watu wasiowatakia ndoa njema kwa akili ya kawaida hawa wadogo hawawezi kuwa na maamuzi mazito hivyo huku wakiwa na watoto..
KWA sisi wataalamu wa elimu kuhusu ulimwengu usioonekana tunajua chanzo.
 
IMG-20221003-WA0160.jpg
 
Wanaume acheni kutembea na wake za watu. Hivi ndoa ikivunjika sababu yako unapataje amani ya moyo.
Watoto wa watu wakipoteza muelekeo sababu wazazi wametengana Yale maumivu ya mateso yao utabakia salama kweli?
Msiwe chanzo cha kuondoa furaha za watoto. Hao panyaroad ni revenge kwa Jamii kama matokeo ya familia kusambaratika. Unaweza usione leo madhara.
 
Back
Top Bottom