G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Ungembomonda vibaya sanaKuna mdau hapo juu kasema, wanawake ni mitego ya shetani kutuingiza kwenye matatizo. Nimemuelewa sana!.
Mimi mwenyewe nipo bar maana kwa mineno yake ,ningefanya jambo baya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungembomonda vibaya sanaKuna mdau hapo juu kasema, wanawake ni mitego ya shetani kutuingiza kwenye matatizo. Nimemuelewa sana!.
Mimi mwenyewe nipo bar maana kwa mineno yake ,ningefanya jambo baya.
Ha haaa yaani Ina majina hiyoNaona wataiita kabati muda,si mrefu hahaa
Kuna mmoja hapo juu kasema ni Besela duuuhHa haaa yaani Ina majina hiyo
Dah maskini!yaani hicho kitendo Cha kupigwa tukikatae kwa nguvu wanawakeWanaomjua wanasema alikua anapigwa mara kwa mara
Alishazoea
Serikali itafanyaje? Labda waweke sheria kali ukimla mke wa mtu ukafumwa jela miaka 3O huenda ikasaidia.nachokijua ambacho serikali bado haitaki kutoa tamko ni kwamba tz kuna asilimia 40 ya watu wana ukichaa/ uchizi/depression/ umental inayowatafuna kutokana na namna ambavyo maisha yamekuwa na hawakutarajia, tunao hawa watu tupanda nao daladala, tunafanya nao kazi etc etc.na hiki kinachokumbwa ni kizazi cha mwaka 88 kuja 92, bila kufahamu mzizi wa changamoto hizi zinazotakana na ubovu wa malezi ya awali, kushindwa kuendana na mabadiliko ya kichumi, kuvamia ndoa bila kuwa na mafunzo basi tumepotea kama taifa. maisha sio lelemama, ndoa sio lelema, tuombee taifa na vijana dhidi ya mental cases.
Ha haaaa besela?si ndio Ile mbao ya kutundikia neti imekuwaje Tena🤣?Kuna mmoja hapo juu kasema ni Besela duuuh
hii dunia si fair kabisa. Bad men get good and beautiful women, and vice versaView attachment 2376019
Dah pisi kali balaa
Utaishi miaka mingi 😂😂😂,,, mesej zako nazi bloko zikizidiNiko mid 30,sijawahi kula kitasa hata kimoja!ninaogopa ngumi ya mwanaume balaa so tukiwa live siwezi kuchongoa mdomo Tena nasimama mbalii....Ila ukiona nimetoka kwenye uso wako meseji utazopata utajuta
Akili ilinituma nimpasue ila nikaona bora niondoke eneo la tukio.Ungembomonda vibaya sana
angalia usije ukaishia kujiua siku moja.....sometimes kutapika meneno live kunafaa maana unaondoa sumu.... but you have to have a good man wakati unamwaga maneno yeye anacheka, unapata hasira unamwaga sumu yote, ukichoka unaenda kuoga yeye anakuja anakula mzigo kwa raha zake...maisha yanasonga.Niko mid 30,sijawahi kula kitasa hata kimoja!ninaogopa ngumi ya mwanaume balaa so tukiwa live siwezi kuchongoa mdomo Tena nasimama mbalii....Ila ukiona nimetoka kwenye uso wako meseji utazopata utajuta
You take things too personal, uamuzi wa kuua au kutoa roho ya mtu sio uamuzi wa busara, kama umemuoa mke ambae amekula kiapo cha kukuheshimu mpaka kifo halqfu akavunja kiapo, hastahili kua mke, ni vyema ukafanya maamuzi ya busara ya kuondoka kwenye hiyo ndoa na sio kuua, maisha yako yana thamani kuliko huyo anaekusaliti, kumuua ni kuonyesha udhaifu wa haki ya juu, just walk awayUtachapa hiyo lapa Hadi lini ? WANAWAKE punguzeni umalaya hamjagundua Tu wanawaume hatuvumilii usaliti hasa Kwa mke wa ndoa.
Unataka maamuzi Gani magumu zaidi ya hayo ya kuwaua kama hao Ili wawe mfano Kwa wengine na Wewe ukiwemo.
😀😀 Atoe wapi uwezo hata wa kupiga kofi, huyo.. kuachwa kidogo tu anaomba tumuombeeAtakua anakuja National Anthem 😂😂
hakuna bahati mbaya mental health tu ilikuwa inamsumbua huyo jamaaHuyu atakuwa kamuua bahati mbaya ndio maana alikuwa analia....
Utakuwa taahiraNioe?
Wanawake viumbe wa ajabu sana nina week tuka niachane na aliyekuwa mzazi mwenzangu,ningekuwa na hasira za karibu mngesikia nipo segerea.nashukuru Mungu nilivuka kipimo cha ustahimilivu wangu.Mengine unayaaacha tu hawa viumbe ni mtego wa shetani.
Uoe mzuri tatizo uoe mbaya tatizo
Inasikitisha sana.Mapenzi tenaa