Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yenu ipo inachemka na mtakunywa ukiwa yà moto 100'C maana waliooa wanasema mna midomo.Dah maskini!yaani hicho kitendo Cha kupigwa tukikatae kwa nguvu wanawake
For sure akikupa kipeps cha kifua huchelewi ku dead na yy akaitwa muuaji.TuwaombeeeHa haaa kumbe tuko wengi!ndugu yangu tuendelee tu na magazeti ushujaa wa kuwaface Hawa jamaa Ni Jambo la hatari Sana...Ni WAUAJI hawa
labda izraili amemtoa ndukiIla ungetulia uandike vizuri basi
Pole sana mkuu. Dawa ya mtu mweye mdomo ni kumpuuzaDawa yenu ipo inachemka na mtakunywa ukiwa yà moto 100'C maana waliooa wanasema mna midomo.
Ndoa ilinishinda miaka kenda nyuma...hakika yule Dada alikua na mdomo, katika ile ndoa " Vita niliipigana, imani nikailinda ila mwendo sikuumaliza"
Dah!dawa inachemka Tena?usiue mtu kisa mdomo wake!ukiona kazidi mdomo piga chini yatoshaDawa yenu ipo inachemka na mtakunywa ukiwa yà moto 100'C maana waliooa wanasema mna midomo.
Ndoa ilinishinda miaka kenda nyuma...hakika yule Dada alikua na mdomo, katika ile ndoa " Vita niliipigana, imani nikailinda ila mwendo sikuumaliza"
We Dada acha tu, unakuta kina maneno ya Shari huku anakusogelea mwilini" nipige sasa kama wewe mwanaume".Dah!dawa inachemka Tena?usiue mtu kisa mdomo wake!ukiona kazidi mdomo piga chini yatosha
Kabisa kabisa!tuwaombee kwa kweliFor sure akikupa kipeps cha kifua huchelewi ku dead na yy akaitwa muuaji.Tuwaombeee
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi Ni muoga jamani!huwa sielewi inakuwaje MTU anapeleka uso mbele ya mwanaume huku akisema nipige Kama we Ni mwanaume kweli!siwezi kufanya huu upuuzi kabisaWe Dada acha tu, unakuta kina maneno ya Shari huku anakusogelea mwilini" nipige sasa kama wewe mwanaume".
Dawa ipo Motoni .
Yani acha tu, watoto ni wadogo anao yeye yule dada tumbili,wananiuma.Pole sana mkuu. Dawa ya mtu mweye mdomo ni kumpuuza
Wa baba wenyewe ndio Kama nyie?Hiyo ndio dawa ya mabinti waliokosa malezi ya baba..
Watu wawe wanapimwa akili kabla ya kuamua kuishi na mtu.. 🙂Mapenzi tenaa
Unajuaje kama mwanamke alimwambia na hawa watoto sio wako...wa fulani..😀😀Huyu mwanaume boya sana , kwanza hawa watoto kwa haraka haraka hawahitaji DNA ...punguani mkubwa Nyokochinyoko😡 watoto watalelewa na nani?
Uoe nini mzee, kila kukicha unaachwa 🤣🤣🤣Nioe?
Hii iwe lazima!maana tunabebana tu na Milembe case matokeo yake ndio hayaWatu wawe wanapimwa akili kabla ya kuamua kuishi na mtu.. 🙂
Watamla tu wa kufanana nae..mzee...Option ni mbili, usioe au ukizidiwa na manyege yako oa demu wa kawaida sio pini.
Watu wengi sana sasa hivi ni wehu wasio jijua, kulivyo na kipengele cha kupima afya za wahusika swala la akili liwe la lazima..Hii iwe lazima!maana tunabebana tu na Milembe case matokeo yake ndio haya