Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake midomo, midomo,midomo na tuna kauli tata mnoo,zinakeraa na zinaumiza mnoo baasi tu!,afu kutukana Mwanaume ni kumdhalilisha mnoo uanaume wake ndo tunapopigwa hapo afu mbele ya watotoMoja ya jambo la hatari sana hasa kwa upande wa wanawake ni kujibishana na mwanaume anapokuwa amejawa na hasira. Kwa asili wanaume tumeumbwa sio waongeaji sana hivyo ni vema wanawake kutambua umuhimu wa kujishusha pindi waume zenu wanapokuwa katika hali ya hasira ili kunusuru uhai wenu hadi hasira zitakapopungua kisha mnayajenga vinginevyo hali itazidi kuwa mbaya sana.
Juma lililoisha rafiki yangu kwa mara ya kwanza katika ndoa yake iliyodumu kwa miaka zaidi ya 17 alimpiga mkewe vibaya sana kiasi cha kila mtu kubaki anashangaa imekuwaje.
Kwenye suluhu, ilionekana kwamba pamoja na mkewe kuwa kwenye upande wa haki lakini mdomo wake ulimponza. Mwanamke hapendi mumewe anywe pombe, sasa ni kwa namna gani anashawishi hilo litokee akajikuta anaangukia kwenye kipigo cha hatari mno na watoto wote walisimama na baba yao kwa kudai kuwa ni kweli baba anakunywa na sote hatupendi lakini majibizano baina ya baba na mama ilikuwa ni dhahiri mama angedundwa tu kwa maneno yake machafu dhidi ya baba.
Mdomo unatema maneno ova radio ya mkulia yenye battery mpya.....hakuna mwanaume anapendezwa na hiyo hali, na kwakuwa kuongea sana hatuwezi matokeo yake ni kama hivo kuuana chaaaah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana tatooo 🙂
Kaahh..siku zote vipigo vinaleta vifo,Hawa wanaouna Mara nyingi haianzi bahati mbaya ,it is series of events finally wanaishia kugawana majumba ya serikaliWanaomjua wanasema alikua anapigwa mara kwa mara
Alishazoea
Marehemu ana tatoo kifuani hapo opp na chakula ya motot, na tatoo mguuni.. 🙂🙂 Tulio ishia Korea Kaskazini tunaelewaJamaa kainyongelea mbali duh
Kungekuwa na nafasi ya kuona mwanzo walivyoanza mapenzi jamaa alivyokuwa anabembeleza sahv wananyongana daaah sio poa aiseee 🙂
[emoji38][emoji38][emoji38]Mimi huyoo kabisaa yaaani live sitii neno ntakaa kimyaaaa,ukiwa mbaali Sasa![emoji119][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji125][emoji125][emoji3526][emoji3526]Niko mid 30,sijawahi kula kitasa hata kimoja!ninaogopa ngumi ya mwanaume balaa so tukiwa live siwezi kuchongoa mdomo Tena nasimama mbalii....Ila ukiona nimetoka kwenye uso wako meseji utazopata utajuta
Yap viashiria hivyo sio vizur kabsMarehemu ana tatoo kifuani hapo opp na chakula ya motot, na tatoo mguuni.. 🙂🙂 Tulio ishia Korea Kaskazini tunaelewa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Dawa yenu ipo inachemka na mtakunywa ukiwa yà moto 100'C maana waliooa wanasema mna midomo.
Ndoa ilinishinda miaka kenda nyuma...hakika yule Dada alikua na mdomo, katika ile ndoa " Vita niliipigana, imani nikailinda ila mwendo sikuumaliza"
Sukuma ndani, ila siwezi hata mfinya mwanamke au kumaripia au kofi.. Maisha yangu yoote. Ni vizuri unakuwa na wanne kwenda juu, ukiona sign ya kukwazika unavuta waya kwa backup zako unaenda ondoa strwss.. Hayo madhara ya kuwa na mwanamke mmojaYap viashiria hivyo sio vizur kabs
Mapenzi sasa hv yamekuwa mtihan kweliSukuma ndani, ila siwezi hata mfinya mwanamke au kumaripia au kofi.. Maisha yangu yoote. Ni vizuri unakuwa na wanne kwenda juu, ukiona sign ya kukwazika unavuta waya kwa backup zako unaenda ondoa strwss.. Hayo madhara ya kuwa na mwanamke mmoja
🤣🤣🤣Watakuja watuvizie siku moja watuvunje vidole vinavyotupa jeuri[emoji38][emoji38][emoji38]Mimi huyoo kabisaa yaaani live sitii neno ntakaa kimyaaaa,ukiwa mbaali Sasa![emoji119][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji125][emoji125][emoji3526][emoji3526]
Ila ungetulia uandike vizuri basi
Hiyo njemba unaipiga nyundo ya pumbuMfano ukirudi ukakuta njemba kwenye hiyo nyumba haitakuuma?
Pwechele Tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] you people mnaipa majina mengi Sana kitu yetu
Kafara au nn mzee?KWA sisi wataalamu wa elimu kuhusu ulimwengu usioonekana tunajua chanzo.
Kuna tatizo pahala, oa mke mwema, soma tabia zake, mwisho Ili kupata mke mwema tengeneza Sheria zako ukiona huyu ndo mwema mpe Sheria kama ataziweza na kama hawezi apite njia, hiyo ya kelele wewe usiwe nayo na yeye pia maana Kuna wengine wanaoa wake wema wao wanageuka majanga zile Sheria asizopenda kufanyiwa anamfanyia mwenza wake, munatupa shida sana kulalamika kwa maamuzi yenu ya kuoa vituko.Dawa yenu ipo inachemka na mtakunywa ukiwa yà moto 100'C maana waliooa wanasema mna midomo.
Ndoa ilinishinda miaka kenda nyuma...hakika yule Dada alikua na mdomo, katika ile ndoa " Vita niliipigana, imani nikailinda ila mwendo sikuumaliza"
Kuna tatizo pahala, oa mke mwema, soma tabia zake, mwisho Ili kupata mke mwema tengeneza Sheria zako ukiona huyu ndo mwema mpe Sheria kama ataziweza na kama hawezi apite njia, hiyo ya kelele wewe usiwe nayo na yeye pia maana Kuna wengine wanaoa wake wema wao wanageuka majanga zile Sheria asizopenda kufanyiwa anamfanyia mwenza wake, munatupa shida sana kulalamika kwa maamuzi yenu ya kuoa vituko.
NÃ Mimi nilikua na mawazo kama wewe, pengine kuzidi.Kuna tatizo pahala, oa mke mwema, soma tabia zake, mwisho Ili kupata mke mwema tengeneza Sheria zako ukiona huyu ndo mwema mpe Sheria kama ataziweza na kama hawezi apite njia, hiyo ya kelele wewe usiwe nayo na yeye pia maana Kuna wengine wanaoa wake wema wao wanageuka majanga zile Sheria asizopenda kufanyiwa anamfanyia mwenza wake, munatupa shida sana kulalamika kwa maamuzi yenu ya kuoa vituko.