warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #41
Unaona sasa, kumbe wewe una matatizo yako binafsi na Hamisa, sisi hatuzungumzii tabia zake au matendo yake, hapa tunajadili "muonekano" wake katika hiyo picha hapo juu. Hayo mambo ya "uswahili" sijui "uganga" ni wewe unajua na siyo ajenda ya mleta mada.
True