Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Leo hupo umefanya sikuoni au ni kueleze hapaUshakosea step, J2 sio siku ya shetani jaribu j4 au ijumaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo hupo umefanya sikuoni au ni kueleze hapaUshakosea step, J2 sio siku ya shetani jaribu j4 au ijumaa
Tundu sikumkosa sema jamaa ana Mungu sana nikaishia kumvunja mguuMbona ulimkosa tundu?
We endelea na vimeo wako, kwa wengine utajua ila hutafanya kitu,,,,au na we ndo ule mtandao wa mmama wa bagamoyoLeo hupo umefanya sikuoni au ni kueleze hapa
Kauli yako tu itakupa majibu mazuri ya maelezo yakoWe endelea na vimeo wako, kwa wengine utajua ila hutafanya kitu,,,,au na we ndo ule mtandao wa mmama wa bagamoyo
Huyo shetani wenu ,huku tunamla na kachumbariKauli yako tu itakupa majibu mazuri ya maelezo yako
Hawezi kuwa mgumu kama LISSUHii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
Siku hizi vyuo vinadahili wajinga wengi sana.Kuna watu wanasema tukio hilo jamaa kalitengeneza uli kutafuta attention..
Alafu jamaa aliyekua anasema hivo ni kijana wa chuo kabisa mwaka wa 3
Nikisema wanafunzi sa hivi kichwani wana mi MAVI tu
Shambulio hilo kaliandaa mwenyeweDah hii ishu bhana 😂
Ujue kupata kupata freeze motion ya Risasi Sio kazi rahisi, anyway wana camera nzuri kwa matukio ndio mana hilo limewezekana.
Hii ishu n very complicated, kuna video inamuonyesha sniper upande wa trump akimpiga mtuhumiwa baada ya mtuhumiwa kumjeruhi Trump, sasa watu wanauliza inakuaje muda wote mtuhumiwa yupo kwenye target yako lkn unasubiri alete madhara ndio na ww unafanya maamuzi n kwann kabla hajashambulia uwe tyar umemthibiti.Shambulio hilo kaliandaa mwenyewe
Mwambieni babu nae aandae kama hata hio script ataweza kuifata, maana hata akiwekewa red carpet tu anapita pembeni hadi ashikwe mkono,,,,,,,huyo mlenga shabaha alikua anatetemeka kama babuShambulio hilo kaliandaa mwenyewe
Unaweza kukuta hakuwa na lengo la kuua ila alikusudia kupiga hapohapo alipopiga ili kumuondoa mkutanoni, wamarekani hawaeleweki wala kutabirikaNawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
Hiyo ni false flag ya Mossad very likely.Mazingira ya tukio hayaonyeshi kwamba hili tukio ni la kweli.Most likely limeigiliziwa ili Trump aweze kupata kura za huruma.Kwa jinsi Marekani ilivyo kwa sasa,huwezi kuamini lolote from the US.Mathanzua usije kutuambia NWO wapo nyuma ya mpango wa kumuua Trump....
Wanausalama wa bongo wameikomalia hy sababu ya ety kugeuzageuza kichwa ndio imemsaidia na kama n kweli bc huyo sniper wa mchongo akifika huko peponi/jehanamu itabidi achapwe vibokoHii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
Vijana wa CCM hamuwezi kabisa kuuficha aibu/ujinga wenuKaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma🙄😜
Weeh..trump hawezi kutake risk kama hiyo acheze na uhai wake mwenyewe..Kaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma🙄😜
Kwake kafara Ili aaminiwe Kweli kulikuwa na assassination attempt🙄😜Je raia aliyekaa jukwaani auawe
Ungekuwa unayo akili ya tafakari UNAAMINI Kweli kulikuwa na assassination attempt Hapo??Vijana wa CCM hamuwezi kabisa kuuficha aibu/ujinga wenu
Kwani hujui Ashki ni majunun??Weeh..trump hawezi kutake risk kama hiyo acheze na uhai wake mwenyewe..