Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Acha propaganda chafu hazitakusaidia mkuu.Bagonza ni wakala wa beberu kama beberu wengine! Hivi unajua mpaka leo familia yake iko marekani, kwanza ni mchepukaji kama wengine, huyu askofu hana maadili. Avue kora avae gwanda kama Msigwa sio kujificha kwenye kivuli cha dini