Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Ksma hawezi kushinda anatafuta nini?
Anatakiwa aleta wanachama wa CCM na wapenzi wake upinzani.Aivuruge CCM hadi isambaratike ,iwe vipande vipande,kabla ya October. Na hiyo ndio kazi ya Spymaster si vinginevyo.
Kama hawezi hilo basi ataleta uchuro katika upinzani bora abaki neutral.
Hilo ndiyo tumaini la walio wengi
 
Janja ya ccm
Ksma hawezi kushinda anatafuata nini?
Anatakiwa aleta wanachama wa CCM na wapenzi wake upinzani.Aivuruge CCM hadi isambaratike ,iwe vipande vipande,kabla ya October. Na hiyo ndio kazi ya Spymaster si vinginevyo.
Kama hawezi hilo basi ataleta uchuro katika upinzani bora abaki neutral.
 
Hapana, safari hii ni tofauti sana. Lowasa alijitosa akijua anashinda urais wakati Membe kapania kuwaumiza ccm kwa kusaidia kuwatemesha serikali ya Zanzibar.
Asiishie hapo.

"Kuwatemesha serikali ya Zanzibar" pekee.

Anatakiwa afanye juhudi zote awezavyo asaidie kuondoa hili balaa la CCM kila sehemu hapa nchini. Aifanye kazi hii bila kutazama atalipwa nini.

Akifanya hivi, hata ikishindikana kupata mabadiliko tarajiwa, atakuwa amejijengea heshima kubwa, kuliko alivyowahi kuwa nayo akiwa ndani ya CCM.
 
Tumuombee sana mh Membe aweze kulitekeleza hilo angalau kuidhoofisha ccm, hayo ya chama kuunda KUB ni matokeo tu
Asiishie hapo.

"Kuwatemesha serikali ya Zanzibar" pekee.

Anatakiwa afanye juhudi zote awezavyo asaidie kuondoa hili balaa la CCM kila sehemu hapa nchini. Aifanye kazi hii bila kutazama atalipwa nini.

Akifanya hivi, hata ikishindikana kupata mabadiliko chana, atakuwa amejijengea heshima kubwa, kuliko alivyowahi kuwa nayo akiwa ndani ya CCM.
 
Nimekupata vyema kiongozi, kwa kifupi kila chama kinatetea maslahi yake binafsi na siyo kutwaa dola
CDM ndio wabinafsi namba moja, waliwatenda sana wana UKAWA wenzao, wakala ruzuku yote peke yao tofauti na makubaliano
 
Mkuu, ccm wanaitema zanzibar mwaka huu. Hili halihitaji ramli.
Mkuu
Hata mwaka 2015 cuf ilishinda uchaguzi mkuu, na kila mtu duniani anajua. Lakini mimi na wewe tunajua Jecha alifanya nini.
Jecha ni mfumo.

Kilichotokea mwaka 2015,kitatokea tena mwaka 2020, tena mwaka huu huenda kukawa na bladishedi.
 
Hasa huo ndio ukweli, Kwa sababu mara baada ya uchaguzi kila chama kitajitathimi kutokana na uchaguzi uliofanyika, Waliosimamisha wagombea katika nafasi zote wanakua wanavuna walichopanda kupitia ruzuku ya chama, Na hapa kila chama kinahitaji fedha ili kuendesha mambo mengine ya chama je ni chama gani ambacho hakitaki kupikea ruzuku? Hakuna, Binafsi naona kuungana kwa vyama vya upinzani kufakavyokua kugumu wakati huu sababu ya maslahi ya vyama vyao, Kila chama kitakuja na mgombea wake
Nimekupata vyema kiongozi, kwa kifupi kila chama kinatetea maslahi yake binafsi na siyo kutwaa dola
 
Wapinzani bado hawajifunzi wanategemea wagombea kutoka CCM. Ila combination ya Zitto,Maalim Seif na Membe sidhani kama itamaliza hata mwaka bila kuvunjika maana wote ni wajanja wajanja.
 
Wahanga waliofukuzwa kwenye vyama vyao wamekutana, Kama akigombeaa ACT basi CCM wamewagawa wapinzani wakagawika, maana Zitto najua anaangalia namna gani atakuza chama na anajua Membe hawez kushinda labda kukiongezea chama nguvu huko kusini. Chadema simameni na Lissu sisi wapenda mabadiliko tutamchagua Lisu.
Hakika mwana...!!
 
Back
Top Bottom