Picha Bora ya Rais Samia Iliyogusa mioyo ya mamilioni ya Watanzania

Picha Bora ya Rais Samia Iliyogusa mioyo ya mamilioni ya Watanzania

Ndugu zangu Watanzania,

Wakati Taifa likiendelea kutabasamu na kusikika kwa kelele za shangwe, nderemo na vifijo zinazotokana na ushindi wa Timu ya Yanga ambayo licha ya refarii kukataa magoli ya wazi kabisaaa ,lakini imefanikiwa kuendelea na pale ilipoishia Msimu ulioisha kwa kumchakaza vibaya sana club ya Simba, ambayo imejikatia tamaa kabisa mbele ya Yanga Timu ambayo inapendwa na mamilioni ya watanzania na viongozi mbalimbali wakubwa wakubwa . Kwa hakika Yanga na Rais Samia ndio walioshikilia Furaha ya watanzania.

Upande Mwingine Wa pili.Hii ni Miongoni mwa picha Bora kabisa za Rais Samia,ambayo imegusa na kukonga mioyo ya mamilioni ya watanzania.picha ambayo imevuta na kuteka hisia za wetu wengi sana hususani wakulima.

Picha ambayo imeonyesha namna Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, alivyodhamiria kwa dhati ya moyo wake kuwainua wakulima wa Nchi hii na kuwaondolea umaskini wa kipato.

Hii ni kwa kutambua kuwa kilimo ndio uti wa mgongo,pumzi ya watanzania, tumaini la wengi na Secta iliyobeba ndoto na hatima ya maisha ya mamilioni ya watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Rais wetu ni mkulima na amefanya kazi ya kilimo kwa Vitendo na siyo kilimo cha mdomoni na kwenye makaratasi.Rais wetu amewahi kulima Mpunga na kuwa na mashamba ya Mpunga Mkoani Morogoro.kwa hiyo anafahamu nini Mkulima anatakiwa kusaidiwa.

Ndio maana tangia kuingia kwake madarakani amekuja kama mkombozi na nuru kwa wakulima ,ndio maana tunaona akitoa mabilioni ya pesa kama Ruzuku,soko zuri kwa mazao yote pamoja na kuweka mazingira mazuri kwa mkulima kunufaika na jasho na kilimo chake badala ya kunyonywa na kubakia katika umaskini mwaka hadi mwaka.

Kama kuna Mkulima atashindwa kuinuka kiuchumi wakati huu wa Rais Samia mpaka 2030 ,basi atakuwa amepoteza bahati na fursa kubwa sana ambayo atakuja kujutia baadaye.View attachment 3064898

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uchawa nayo pia ni kazi ngumu.
 

Attachments

  • 5744975-8bcb85f1807b40dfe9b1bdf5a6eabbb0.jpg
    5744975-8bcb85f1807b40dfe9b1bdf5a6eabbb0.jpg
    8 KB · Views: 3
Ndugu zangu Watanzania,

Wakati Taifa likiendelea kutabasamu na kusikika kwa kelele za shangwe, nderemo na vifijo zinazotokana na ushindi wa Timu ya Yanga ambayo licha ya refarii kukataa magoli ya wazi kabisaaa ,lakini imefanikiwa kuendelea na pale ilipoishia Msimu ulioisha kwa kumchakaza vibaya sana club ya Simba, ambayo imejikatia tamaa kabisa mbele ya Yanga Timu ambayo inapendwa na mamilioni ya watanzania na viongozi mbalimbali wakubwa wakubwa . Kwa hakika Yanga na Rais Samia ndio walioshikilia Furaha ya watanzania.

Upande Mwingine Wa pili.Hii ni Miongoni mwa picha Bora kabisa za Rais Samia,ambayo imegusa na kukonga mioyo ya mamilioni ya watanzania.picha ambayo imevuta na kuteka hisia za wetu wengi sana hususani wakulima.

Picha ambayo imeonyesha namna Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, alivyodhamiria kwa dhati ya moyo wake kuwainua wakulima wa Nchi hii na kuwaondolea umaskini wa kipato.

Hii ni kwa kutambua kuwa kilimo ndio uti wa mgongo,pumzi ya watanzania, tumaini la wengi na Secta iliyobeba ndoto na hatima ya maisha ya mamilioni ya watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Rais wetu ni mkulima na amefanya kazi ya kilimo kwa Vitendo na siyo kilimo cha mdomoni na kwenye makaratasi.Rais wetu amewahi kulima Mpunga na kuwa na mashamba ya Mpunga Mkoani Morogoro.kwa hiyo anafahamu nini Mkulima anatakiwa kusaidiwa.

Ndio maana tangia kuingia kwake madarakani amekuja kama mkombozi na nuru kwa wakulima ,ndio maana tunaona akitoa mabilioni ya pesa kama Ruzuku,soko zuri kwa mazao yote pamoja na kuweka mazingira mazuri kwa mkulima kunufaika na jasho na kilimo chake badala ya kunyonywa na kubakia katika umaskini mwaka hadi mwaka.

Kama kuna Mkulima atashindwa kuinuka kiuchumi wakati huu wa Rais Samia mpaka 2030 ,basi atakuwa amepoteza bahati na fursa kubwa sana ambayo atakuja kujutia baadaye.View attachment 3064898

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yale matrekta yaliyoletwa kwa mauzo pale TAMCO Kibaha aliuziwa nani?

Aliyenunua bado analo linafanya kazi?

Mkulima mwenye kipato cha 300,000 kwa mwaka atalinunuaje trekta la milioni 200,000,000?

Tuoneshe mkulima wa kawaida ana trekta au power tiller ambalo rais kapelekwa kuoneshwa kama sio anapelekwa wakulima wenye mitaji mikubwa kuainzia bilioni!!!
 
Mama Samia mi5 tenaa....Shida upinzani wanatumia nguvu kubwa mama aonekane sio Kiongozi mzuri jambo ambalo sio kweli
 
Mama Samia mi5 tenaa....Shida upinzani wanatumia nguvu kubwa mama aonekane sio Kiongozi mzuri jambo ambalo sio kweli
Wapinzani wamefanyaje na CCM bunge lote lenu na serikali yenu Wapinzani wanatumia nguvu kubwa kwenye nini?
 
Ukiwa unapoteza kabisa uhuru wako binafsi na inabidi kuwa makini na kila unachofanywa au kushauriwa. Mwaka huu huko Zambia, Rais alizindua miradi ya mabilioni ila wahuni wakachomekea kwenye ratiba azindue choo kipya cha serikali. Wapinzani wakaanza kumsulubu kupitia hiyo picha.
 

Attachments

  • FB_IMG_1723193742795.jpg
    FB_IMG_1723193742795.jpg
    48.7 KB · Views: 2
Mama Samia mi5 tenaa....Shida upinzani wanatumia nguvu kubwa mama aonekane sio Kiongozi mzuri jambo ambalo sio kweli
Watanzania bado wana imani kubwa sana na uongozi wa Rais Samia.ndio maana wanaendelea kumuunga mkono kwa sababu wameona maendeleo makubwa yaliyopatikana ndani ya muda mfupi wa Uongozi wake.
 
Back
Top Bottom