Pre GE2025 Picha: CEO wa CRDB nae aunga mkono Vitumbua Challenge ya Steve Nyerere. Mama ndo "anapendwa" kiasi hiki?

Pre GE2025 Picha: CEO wa CRDB nae aunga mkono Vitumbua Challenge ya Steve Nyerere. Mama ndo "anapendwa" kiasi hiki?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani

Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo

Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.

Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini

photo_2025-02-28_14-10-29.jpg



nsekela.png
 
Wakuu,

Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani

Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo

Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.

Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini

View attachment 3252912


View attachment 3252909
Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
 
What have we honestly come to as a nation?

Yani uchawa ushakosa rika, hadhi na wadhifa. Kila mtu amekuwa chawa mpaka kwa visivyochawika.

Kwahiyo katika hali ya kibinadamu ikatokea bahati mbaya 'mama' akaponyokwa na ushuzi hadharani, watu nao watajibu mapigo kwa kuanzisha USHUZI CHALLENGE.
Maana kwa challenge ya kujamba hakika kuna baadhi ya watu watozoa kinyesi kutokana na uhalisia wa marinda yao.
 
Bora tu waishie kwenye chai ya mama, wasiende mbele zaidi wakataja jina la hicho kitafunwa na kukiita kama wanavyoita...

Anyway kila kitu ni cha mama...
Unamaanisha Kitumbua cha mama. Sio mbaya pia, itakuwa ni support kubwa kwa wakulima wa mchele na kina mama wauza vitumbua.

Itapendeza zaidi kuipeleka challenge mbele zaidi na kuiita Kitumbua cha mama challenge.
 
Wakuu,

Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani

Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo

Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.

Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini

View attachment 3252912


View attachment 3252909
Usisahau kua CEO nae ni mteule kama ma DED hivyo usishange
 
Usisahau kua CEO nae ni mteule kama ma DED hivyo usishange
Yeah....makes lots of sense, serikali ina shares nyingi CRDB kupitia PSSSF(13.3%), NSSF(1.7%), NHIF(1.2%), (ZSSF(1.6%), Umoja Trust fund-a UTT scheme(1.2%) per records za 31/12/2024

Ukiangalia NMB nako ni hivyo hivyo, says a lot sababu ya the two CEOs kushiriki uchawa in the recent weeks.
 
Back
Top Bottom