Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hukuona ile movement ya Dodoma juzi?Wengi gani hao wanataka kumtoa ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukuona ile movement ya Dodoma juzi?Wengi gani hao wanataka kumtoa ndugu?
Inasikitisha sana mkuuEti chai ya mama, hii nchi ina upuuzi mwingi sana.
Nikumbushe boss.Hukuona ile movement ya Dodoma juzi?
Mzee Kimei alijitahidi sana yule baba na sio kama hiliHuyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
Nikipata link yake nitakutag bossNikumbushe boss.
AsanteNikipata link yake nitakutag boss
Sycophantic behavior, kila sehemu,samia katia mpunga wa kutosha wa serikali hapo crab, kuna bond inaitwa samia infrastructure bond, unaikopesha serikali mapesa kupitia crdb, harafu unapata faida kwa asilimia 22!Wakuu,
Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani
Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo
Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.
Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini
View attachment 3252912
View attachment 3252909
Na Brexit imetusaidia yaani kama sio Europe sasaHahaha hahaha. Wakati Keir starmer wenu kavuka Atlantic kumshawishi Trump mambo ya Tarrifs na ana mpango wa kujenga nyumba million moja za Serikali. Sisi huku na mavitumbua yetu.
Hawayuu muzungu?Mna hali ngumu sana waafrika
😄 huyu mkurugenzi wa crdb katoka mbali zamani kila siku tulikuwa tunagonga wote supu pale PR camp bar kinondoni na ndy ilikuwa kijiwe chake kikubwaMna hali ngumu sana waafrika
Maisha hayana formula mzee..huyu alipatikana kwa merits kweli au dini ilitumika kumbeba, hata kwa kumtizama tu, hana sifa za kuwa ceo..
Mimi ningependa kuona viongozi wetu hawa siku wanakuja na mikakati kabambe kuhusu mambo ya makazi,kujenga nyumba nafuu kwa ajili ya wananchi syo kila siku maagizoHahaha hahaha. Wakati Keir starmer wenu kavuka Atlantic kumshawishi Trump mambo ya Tarrifs na ana mpango wa kujenga nyumba million moja za Serikali. Sisi huku na mavitumbua yetu.
Mtu kutoka ukuwadi leo hii kawa na ushawishi eti naye ni think tankMna hali ngumu sana waafrika
Hapo naona inatosha, nimepata picha kamili😄 huyu mkurugenzi wa crdb katoka mbali zamani kila siku tulikuwa tunagonga wote supu pale PR camp bar kinondoni na ndy ilikuwa kijiwe chake kikubwa
Ngj tuishie hapa
Ova
Maajabu kwa kweli, kama ndio hivyoMtu kutoka ukuwadi leo hii kawa na ushawishi eti naye ni think tank
😄
Ova