LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Umempimaje,? Yeye ni mwenyekiti wa bodi ya chai.. elewa neno" CHAI"Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempimaje,? Yeye ni mwenyekiti wa bodi ya chai.. elewa neno" CHAI"Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
Tukupeleke wewe basi ulokuwa mweusi kichwani .. au unasemaje ndugu mweusi up stair ?Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
Yeye si kamuiga huyo Stefano?Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
..kwamba hata wewe machinga, kesho unaweza fanya kazi anazofanya Prof. Janabi ndio hivyo?Maisha hayana formula mzee
Ova
Maisha hayana formula mzee..kwamba hata wewe machinga, kesho unaweza fanya kazi anazofanya Prof. Janabi ndio hivyo?
Nilitakata niandike ... cha mama, mwanasheria wangu amenikataza baada ya kuwasiliana na kamanda Muliro.Bora tu waishie kwenye chai ya mama, wasiende mbele zaidi wakataja jina la hicho kitafunwa na kukiita kama wanavyoita...
Anyway kila kitu ni cha mama...
Wakuu,
Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani
Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo
Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.
Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini
View attachment 3252912
View attachment 3252909
Wakuu,
Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani
Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo
Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.
Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini
View attachment 3252912
View attachment 3252909
Nchi hii imechanganyikiwa nahisi sisi ni kichekesho hata kwa majirani.Eti chai ya mama, hii nchi ina upuuzi mwingi sana.
Hahahaha,Eti chai ya mama, hii nchi ina upuuzi mwingi sana.
Na nishawaza nami Kutafuna tumbuaBora tu waishie kwenye chai ya mama, wasiende mbele zaidi wakataja jina la hicho kitafunwa na kukiita kama wanavyoita...
Anyway kila kitu ni cha mama...
Usisahau kua CEO nae ni mteule kama ma DED hivyo usishange
CEO wa CRDB si mteule wa rais maana CRDB si benki ya serikali. DANIDA ndo ana share nyingi, akifuatiwa na psssf na kisha nssf ya ugandaUsisahau kua CEO nae ni mteule kama ma DED hivyo usishange