Mkuu umefanya kidogo niandike kitu G Z wangetafsiri ndivyo sivyo.Kila kitu ni cha mama...
🤣🤣🤣Kitumbua Cha mama🤣🤣🤣Mkuu umefanya kidogo niandike kitu G Z wangetafsiri ndivyo sivyo.
Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.Wakuu,
Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani
Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo
Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.
Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini
View attachment 3252912
View attachment 3252909
Unamaanisha Kitumbua cha mama. Sio mbaya pia, itakuwa ni support kubwa kwa wakulima wa mchele na kina mama wauza vitumbua.Bora tu waishie kwenye chai ya mama, wasiende mbele zaidi wakataja jina la hicho kitafunwa na kukiita kama wanavyoita...
Anyway kila kitu ni cha mama...
Hahaha hahaha. Wakati Keir starmer wenu kavuka Atlantic kumshawishi Trump mambo ya Tarrifs na ana mpango wa kujenga nyumba million moja za Serikali. Sisi huku na mavitumbua yetu.Mna hali ngumu sana waafrika
Usisahau kua CEO nae ni mteule kama ma DED hivyo usishangeWakuu,
Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani
Muda mfupi baadae na Abdulmajid Nsekela CEO wa CRDB ameunga mkono "challenge" hiyo
Zamani tulishazoea kuwa uchawa unafanywa na wasanii tu ila sasa hivi hadi MaCEO nao wameunga tela.
Natamani matukio ya hivi yazidi kuwa mengi ili tuone breaking point ya mambo haya kichawa itakuwa ni nini
View attachment 3252912
View attachment 3252909
..huyu alipatikana kwa merits kweli au dini ilitumika kumbeba, hata kwa kumtizama tu, hana sifa za kuwa ceo..Huyu CEO wa CRDB mweupe mno kichwani.
Yeah....makes lots of sense, serikali ina shares nyingi CRDB kupitia PSSSF(13.3%), NSSF(1.7%), NHIF(1.2%), (ZSSF(1.6%), Umoja Trust fund-a UTT scheme(1.2%) per records za 31/12/2024Usisahau kua CEO nae ni mteule kama ma DED hivyo usishange
Wengi gani hao wanataka kumtoa ndugu?Rais wa Nchi ana nguvu sana Nchi hii
Hata kumtoa, sio rahisi kama wengi wadhaniavyo
Maana Kila Taasisi ina watu wake 🙌