Picha: Dar es Salaam waonesha uhalisia suala la bandari nchini. Viongozi wajitafakari sana

Umeupiga mwingu mkuu
 

Attachments

  • chadema.jpg
    93.2 KB · Views: 2
Nishamalizana nawe mkuu, sina la ziada la kuongeza katika yale niliyokwishaelza hapo juu.

Ukija na wazo jipya ulilotumia akili kulitambua kuwa ni jamb zuri, nitakusoma na kujadili nawe, lakini siyo takataka hizi unazoleta hapa kwa muda mrefu sasa.
Safi sana mkuu, ndio njia sahihi
 

Watanzania hawajaridhika na uwekezaji wa bandari, serikali isione aibu kuachana na Waarabu​

 
Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!
Ungekuwa na akili usingeandika huu ugoro!
Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!
 
Acha upotoshaji bandari haziuzwi,kama ccm mnakilalu cha kuuza kauzeni Figo zonu mnazomilike wenyewe sio kuuza mali za watanganyika
 
Tunangoja kupata elimu uzuri wa mkataba wa bandari kifungu kwa kifungu achana na ngojera marume.
 
Wakazi wa Dar na viunga vyake tunazijuwa fursa zitazozalishwa na bandari ya kisasa.

Hao DP WORLD wengine hapa tunawangoja kwa hamu. Tuna vijukuu vyetu tunataka violewe Dubai.
Fursa hizo.

Wewe huna tofauti na yule Mwenyekiti wa CCM Nyamagana.
Kumbe ndio sera zenu za kutaka kuolewa na waarabu!
Utumwa mbaya sana.
Your browser is not able to display this video.
 

Watanzania hawajaridhika na uwekezaji wa bandari, serikali isione aibu kuachana na Waarabu​

Bila shaka unazungumzia watanzania wa mitandaoni ambao kiuhalisia hawafiki hata mia moja.
Huku mitaani ukiachilia mbali wale wanaotafuna mema ya bandari kwa kupitisha biashara zao bila kulipa ushuru au kodi, au wale wanaopiga madili ya kuuza vifaa mbali mbali vya watu vilivyopo bandarini, wananchi wa kawaida wengi wameridhika na mkataba. Ndomaana hawana muda wa kwenda kusimama juani kupotoshwa na wale wanaonufaika na mfumo mbovu wa bandarini.
 
Ungekuwa na akili usingeandika huu ugoro!
Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!
Huyo unaemuona ana akili sasa hivi anapambana kupewa nafasi ya kwenda kuhiji katika kaburi la yule aliemsingizia ili atubu dhambi zake na kukiri uongo wake pale kaburini.

Kwa vile umeshikiwa akili basi ni ngumu sana wewe kuwa huru kulijua hili.
 
Tunangoja kupata elimu uzuri wa mkataba wa bandari kifungu kwa kifungu achana na ngojera marume.
Ngonjera ni nyingi mno. Genge la wakwepa ushuru na kodi pale bandarini linazunguka mikoani kuwalaghai watanzania wenzetu kwamba bandari imeuzwa, ila wakiulizwa waoneshe mkataba mzima ili watanzania waone hilo eneo la mauziano kwa lengo la kutaka wasipigwe changa kama lile la enzi ya Lowasa, jamaa wanakuwa wakali na kuanza kumkukana raisi.
 
Hiki ni kufungu namba ngapi kwenye mktaba DPW?
 
Hiki ni kufungu namba ngapi kwenye mktaba DPW?
Mkuu mbona haueleweki. Nakwambia kwamba kuna genge la wanasiasa uchwara na mawakili njaa na viongozi wa dini waliozoea kupitisha vitu vyao au biashara pale bandarini bila kulipishwa kodi, linazunguka nchi nzima kuwahadaa watanzania kwamba mkataba wa bandari una lengo la kuuza bandari zetu.
Sasa genge hilo linalodanganya kwamba bandari imeuzwa likiulizwa liweke mkabata hadharani ili kila mtanzania aone hicho kifungu cha mauziano kati ya serikali na dp world, genge hilo haliweki mkataba maana linajua kama linapotosha, na badala yake linaanza kumtukana raisi.

Kwahiyo hili swali lako ulitakiwa uwaulize hao wanasiasa uchwara wakuoneshe kifungu kinachoonesha mauziano.
Nina Imani hilo genge unalifahamu ni la kina nani au chama gani
 
Ila mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu woooote tunasema tunataka Bandari yetu.
Asante
 
Wewe onyesha vifungu kwenye mkataba vinavyoonyesha kuwa bandari zetu hazijauzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…