Picha: Dar es Salaam waonesha uhalisia suala la bandari nchini. Viongozi wajitafakari sana

Wewe onyesha vifungu kwenye mkataba vinavyoonyesha kuwa bandari zetu hazijauzwa.
Ushaona wapi swali linajibiwa na swali? Wewe au hao waliokudanganya kuwa bandari imeuzwa ndio mlitakiwa muoneshe hivyo vifungu ili kurahisisha kile kinachowafanya mzunguke nchi nzima kwa malipo madogo mnayopata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…