Haha..mjini Kuna Mambo jamani,kazaa na yule sijui yogo beats ndo tumeona!!![emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ila manara Kiboko muambie besti Yako mwaka huu amejua kuua bendi jamani!!Eeeh nasikia kitambo sana. Ila si Kazaa na mtu mwingine? Niko hoves
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hakina type... kisukari ni kisukari chomie..Eheee labda ni type nyingine
Mawifi mnavituko sanaKuna mke mmoja wa Manara alisema hakuna mwanamke atakayeweza kuishi na Manara hata wao walimvumilia yakawashinda sijui jamaa huwa ana shida gani maana kwa umri wake kuhangaika na ndoa inaonyesha kuna kitu hakipo sawa kwake.
Mtoto mdogoMtoto mchanga au unasemea binti mkubwa rafiki wa paula
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo mapenzi itakuwa version mpya hiyo....afungue chuo na hawa mashomvi wengine wakajifunze[emoji1787]
Hataki dhambi ya uzinzi best yangu akimuelewa mwanamke anahalalisha kabisa.Haha..mjini Kuna Mambo jamani,kazaa na yule sijui yogo beats ndo tumeona!!![emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ila manara Kiboko muambie besti Yako mwaka huu amejua kuua bendi jamani!!
The Icebreaker amelikeAISEE KWELI PESA INAONGEA, MANARA BILA KUWA NA PESA HAWEZI KAMATA MALI KAMA HIYO.
Ila na yeye wakati anaingia alikuta Wawili washaachwaInashangaza, mtu dada Ake DC, shemeji waziri halafu unaenda kuolewa na Msemaji, Kama ni njaa si Bora angeomba mtaji afanye biashara....Bora hata kudanga kuliko kuolewa na Yule Mzungu....mwanaume gani anachamba vile! Kwanza anaonekana pale gubu ni nyumbani kwao.
Siku hizi warangi na wanyaturu ni waarabu kumbeLakini ni Waislamu wa Tanzania wote wanaotajirika, mke wa pili ni mwarabu/nusu mwarabu na siyo swala na mtu mmoja, …
Nikisikiaga anavyijinadi hivyo nacheka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]anakaa Masakii jamanii
Na wale wake nasikia waliomba talaka Kwa pamoja, Manara ndo aliachwaa🤣 Nasikia walisema hamna mwanamke wa kumvumilia Yule bwanaIla na yeye wakati anaingia alikuta Wawili washaachwa
Wanasema alichanganyikiwa acha halafu yule mdogo akaolewa na tajiri wa Kkoo wacha afulie sijui Manara alifanya yake😂Na wale wake nasikia waliomba talaka Kwa pamoja, Manara ndo aliachwaa🤣 Nasikia walisema hamna mwanamke wa kumvumilia Yule bwana
Hadi bi mkubwa mnataka kupitia nae? Mwenzenu atabaki na Nani🤣🤣🤣Nikizipata namba za yule namba za yule manzi lzm niruke nae Leo nilikuwa mitaa ya coleshamu alikokuwa anafanya Kaz ili nipate nmb zake manara lzm nimchapie demu yule
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
TUZO YAKO YA UTABIRI UJE UCHUKUE BRO!Dini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
Heee mwandende weeeeee uko vyedi aseehhDini inasema unapotaka kuoa mke wa pili ni lazima uombe ridhaa kwa mke wako wa Kwanza.
Je, Manara ana baraka za mkewe mkubwa?
Jibu ni no,
Manara ana uwezo wa kuishi na wake wawili?
Jibu ni no,
Kama hivyo, basi tusubiri matukio ya manara kukimbiwa.
Kwamba Manara alimfanyia mambo ya kitamaduni tajiri wa Kkoo aliyeoa mke wake waliyeachana?Wanasema alichanganyikiwa acha halafu yule mdogo akaolewa na tajiri wa Kkoo wacha afulie sijui Manara alifanya yake😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] booster labdaa, uwezo anao sasa??