SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
All in all aliekupa wewe ndio amenyima mwingine na sio wote wasiozaa wametoa mimba wakati mwingine wekeni akiba ya maneno kuzaa sikupata wako walozaa wanajuta kuwazaa hao watoto wako walozaa na mungu akawachukua wote.....hayo ni machungu makubwa kuliko huyo asiepata mtoto kesho yako huijui ni hayo tu..