Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Sahihi, Alikuwa Achukue Nafasi Ile Baada Ya Kutoka CongoNa huyu ndio mabeo alichukua nafasi yake alitakiwe awekuu wa majeshi marehemu akamkaaa kampitisha mabeo..
Naomba niishie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, Alikuwa Achukue Nafasi Ile Baada Ya Kutoka CongoNa huyu ndio mabeo alichukua nafasi yake alitakiwe awekuu wa majeshi marehemu akamkaaa kampitisha mabeo..
Naomba niishie hapo
Nilikua namkubali mnoo..jasusi yuleJicho kama kala kungu. Ingia sasa 18 zake uuone usoja wake 😂😂😂
Gen Mwamunyange ndio alieliongezea jeshi letu ubora, uwezo wa kijeshi na heshima kupitia operation mbali mbali za jeshi zilizofanyika chini ya uongozi wake.Nilikua namkubali mnoo..jasusi yule