Picha: Haya mabasi ya kisasa yanatufanya tuwe wastaarabu sana

Picha: Haya mabasi ya kisasa yanatufanya tuwe wastaarabu sana

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Ambao mmewahi kusafiri humu, hivi ukitaka kununua kitu kwa winga Dirishani unafanyeje?

Wale wenye uroho na walafi wa Kulakula hovyo wananunuaje mayai,karanga,mahindi na maembe?
Au abiria wa haya mabus ni wastaarabu ambao wanapaki supermarket kununua mahitaji ya njiani..

Mabus yanafanana na ndege vioo havifunguki wabongo wataweza?
20241011_095322.jpg
 
Ambao mmewahi kusafiri humu, hivi ukitaka kununua kitu kwa winga Dirishani unafanyeje?

Wale wenye uroho na walafi wa Kulakula hovyo wananunuaje mayai,karanga,mahindi na maembe?
Au abiria wa haya mabus ni wastaarabu ambao wanapaki supermarket kununua mahitaji ya njiani..

Mabus yanafanana na ndege vioo havifunguki wabongo wataweza?View attachment 3121572
Ahahahahaaa
 
Ambao mmewahi kusafiri humu, hivi ukitaka kununua kitu kwa winga Dirishani unafanyeje?

Wale wenye uroho na walafi wa Kulakula hovyo wananunuaje mayai,karanga,mahindi na maembe?
Au abiria wa haya mabus ni wastaarabu ambao wanapaki supermarket kununua mahitaji ya njiani..

Mabus yanafanana na ndege vioo havifunguki wabongo wataweza?View attachment 3121572
hili gari nililipanda wiki iliyopita aisee wazungu wanafaidi sana.. ni kweli michina iliyotanzania ni usafiri wa kimasikini sana
 
Ambao mmewahi kusafiri humu, hivi ukitaka kununua kitu kwa winga Dirishani unafanyeje?

Wale wenye uroho na walafi wa Kulakula hovyo wananunuaje mayai,karanga,mahindi na maembe?
Au abiria wa haya mabus ni wastaarabu ambao wanapaki supermarket kununua mahitaji ya njiani..

Mabus yanafanana na ndege vioo havifunguki wabongo wataweza?View attachment 3121572
bus linaanza safari saa mbili usiku linafika saa 11 alfajiri hao wauza mayai wanatoka wapi? pili sio kweli kuwa madirisha ni sealed nenda shekilango kalitizame physically, ni bure hawatakulipisha piga selfie kabisa.

ni kweli tabia za abiria zimebadilika mambo ya kununua mihogo ya kuchemsha imebaki stand ya geita, katoro na kazuramimba, hata pale mombo lile pagale la makuti halipo tena kuna kitu cha maana
 
Kuna watu wanakula kama mchwa,,,, safari ya masaa 7 au 8 njian anakula zaidi ya Mara tatu, atanunua soda/juice, mayai, biscuits , mahindi na hotelini atakula tena ,,,, ! Binafs sipendi sana vyakula vya kununua tu njian,,,, maji au soda tu inatosha !
 
Kuna watu wanakula kama mchwa,,,, safari ya masaa 7 au 8 njian anakula zaidi ya Mara tatu, atanunua soda/juice, mayai, biscuits , mahindi na hotelini atakula tena ,,,, ! Binafs sipendi sana vyakula vya kununua tu njian,,,, maji au soda tu inatosha !
MTU kama huyo Bora akae SITI ya dirishani ili asikusumbue maana kama utakaa dirishani atakusimbua Hadi mtagombana
 
hili gari nililipanda wiki iliyopita aisee wazungu wanafaidi sana.. ni kweli michina iliyotanzania ni usafiri wa kimasikini sana
Sheria za Tanroads zinafanya haya magari yasinunuliwe na transporers kirahisi, katarama kajitoa muhanga tu, Ilasi alilazimika kukata marcopolo mpya ili akidhi matakwa ya Tanroads. Nilipanda hii basi mwaka 2013, Harare, jo burg, ambayo ni by far more comfy kushinda hizi 2024 katarama.
 

Attachments

  • irrizar .jpg .jpg
    irrizar .jpg .jpg
    450.4 KB · Views: 7
bus linaanza safari saa mbili usiku linafika saa 11 alfajiri hao wauza mayai wanatoka wapi? pili sio kweli kuwa madirisha ni sealed nenda shekilango kalitizame physically, ni bure hawatakulipisha piga selfie kabisa.

ni kweli tabia za abiria zimebadilika mambo ya kununua mihogo ya kuchemsha imebaki stand ya geita, katoro na kazuramimba, hata pale mombo lile pagale la makuti halipo tena kuna kitu cha maana
Saa mbili usiku hadi saa 11 alfajiri Dar - Mwanza?
 
Back
Top Bottom