Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Hivi kinachosababisha mtu kuumia roho ni Nini ?

Kibosho1

Achaneni na Wapondaji WACHAGGA leteni picha za MJI wenu ulivyo, Mimi Siujui ulivyo
Kwa nilizoona mpaka Sasa kwenu ni kuzuri Sana [emoji3][emoji3]
 
Tuache wivu na majungu.
Hao jamaa wa huko North Tz wako vizuri kuanzia life la wazee wao huko village mpaka life lao huku mijini.
Tuache wajivunie, wafurahie na kutupa challenge na sisi wengine tuliokimbia kwetu.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Wala sio wivu
Wanajistukia..
Wakoloni walijenga shule za secondary zaidi
Ya 200 .huko Kilimanjaro
Tanganyika inapata uhuru wao wametangulia
Kielimu na kiuchumi..
Wao kuwazidi wengine ni kitu expected.
Why wanatumia nguvu kubwa Ku brag?
Wao Kwa sababu ya mlima Kilimanjaro wanapata watalii hadi vijijini..ni advantage
Kiuchumi..
Why iwe ajabu wao kupiga hatua?

Au wanaona wengine wanakuja juu ndo
Wanatafuta hizi sifa za kijinga??
 
IMG_20201220_212410.jpg
 
Wala sio wivu
Wanajistukia..
Wakoloni walijenga shule za secondary zaidi
Ya 200 .huko Kilimanjaro
Tanganyika inapata uhuru wao wametangulia
Kielimu na kiuchumi..
Wao kuwazidi wengine ni kitu expected.
Why wanatumia nguvu kubwa Ku brag?
Wao Kwa sababu ya mlima Kilimanjaro wanapata watalii hadi vijijini..ni advantage
Kiuchumi..
Why iwe ajabu wao kupiga hatua?

Au wanaona wengine wanakuja juu ndo
Wanatafuta hizi sifa za kijinga??
Wengine wana fukwe ndefu kuliko.. Wengine wana mito na bahari.. Wengine wana mbuga za wanyama.. Wengine wana ardhi maelfu kwa maelfu ya ekari… wengine wana visiwa vya karafuu… wengine wana vito na wese ardhini… surely mlima Kilimanjaro si kitu si lolote linapokuja suala la maendeleo
 
Ila shemeji zangu ninawakubali. Yaani nimetembea mikoa yote 26 Tanzania mpaka Zanziba yote. Hakuna mkoa kama wa Kilimanjaro na specifically Wilaya za Wachaga. Ndiyo maana wenye wivu wataendelea kujinyonga tu.
Pamoja na kuwa kwa sasa ni kama wametengwa na kusimangwa kwingi lakini hawajakata tamaa. Wao ni kwa MATENDO na maneno yenu tupa kule. Wakimaliza Xmas kuanzia tarehe 26 na kuendelea ni vikao cha maendeleo kwa kila koo ili kujipima walipofanikiwa na walipokwama kwa mwaka mzima uliopita. Wakimaliza vikao cha koo wanafanya vya familia au wengine wanaanza na familia. Hao ndiyo wachaga na hata tuwachukie hatutaweza kuwafikia. By the time tunawafikia wao watakuwa dunia nyingine kabisa. Kuna eneo moja uchagani kwa sasa wanajiwekea lami yao. TARURA wanashirikishwa ipasavyo na wanaitwa kuisimamia tena wanapewa transport allowance. Huko ndiko kwa wachagga.

Mliwaondoa katika madaraka wao hawaliilii bali wanajipanga na kufanya plan B ndiyo maana hata wakistaafu huwa wanaendelea vizuri na maisha yao bila stress tu. Hawa ni kuwapenda tu maana kuwachukia haisaidii KABISA.
 
Tuache wivu na majungu.
Hao jamaa wa huko North Tz wako vizuri kuanzia life la wazee wao huko village mpaka life lao huku mijini.
Tuache wajivunie, wafurahie na kutupa challenge na sisi wengine tuliokimbia kwetu.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Nina jamaa zangu wachaga walishapigika mbaya sana hawana hata nauli ya kurudi home wamekua mateja wa pombe. Hatukatai kuwa kuna maendeleo ila sasa hii kasumba ya kutaka kutuaminisha kila mchaga ana hela ni ufamba.
 
Wala sio wivu
Wanajistukia..
Wakoloni walijenga shule za secondary zaidi
Ya 200 .huko Kilimanjaro
Tanganyika inapata uhuru wao wametangulia
Kielimu na kiuchumi..
Wao kuwazidi wengine ni kitu expected.
Why wanatumia nguvu kubwa Ku brag?
Wao Kwa sababu ya mlima Kilimanjaro wanapata watalii hadi vijijini..ni advantage
Kiuchumi..
Why iwe ajabu wao kupiga hatua?

Au wanaona wengine wanakuja juu ndo
Wanatafuta hizi sifa za kijinga??

Kwani wachagga wamelipia matangazo wapi Au wameitisha mkutano wapi kuji'brag mpaka useme wametumia nguvu kubwa ? Nguvu Kubwa ipi Una maanisha

Kufungua Uzi jamii forum napo ni nguvu kubwa


Kuna makabira zaidi ya 100 Tanzania wao ndio wanafanya kitu kikubwa pekee kwa kila mwaka, kwanini isiwe rahisi kuonekane automatically bila yao kutumia nguvu ? ?

Mfano
Wewe peke yako kati ya watu 10 ofisini nzima ndio unaejipulizia pafyum kila siku, Ni lazima ujulikane simply tu unafuata lifestyle yako ya kitofaut na wengne the same kwa wachagga

Tuache kuwaona wanajisifia bali tuwaone watu wanafata lifestyle yao
How does this matter to you ?
 
Wengine wana fukwe ndefu kuliko.. Wengine wana mito na bahari.. Wengine wana mbuga za wanyama.. Wengine wana ardhi maelfu kwa maelfu ya ekari… wengine wana visiwa vya karafuu… wengine wana vito na wese ardhini… surely mlima Kilimanjaro si kitu si lolote linapokuja suala la maendeleo
Lindi Wana fukwe but Wana international airport?Watalii wanaenda kwao direct?

Geita Wana dhahabu but airport ndo kwanza
Imejengwa juzi huko chato..

Nimesema shule za secondary zaidi ya 200
Alizoacha mkoloni Kilimanjaro..wakati
Tanga zilikua mbili..Lindi sijui moja..
 
Tuache wivu na majungu.
Hao jamaa wa huko North Tz wako vizuri kuanzia life la wazee wao huko village mpaka life lao huku mijini.
Tuache wajivunie, wafurahie na kutupa challenge na sisi wengine tuliokimbia kwetu.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
...👊👊👊..
 
Mkuu acha hasira huu mchezo hauitaji msuli.
Sasa naanzaje kumuonea hasira/wivu mtu ambae simjui? Mi kwenye swala la maendeleo hua naangalia at individual level manake hata kama kuna lami hadi shamban but if still kama mtu mmoja mmoja hawez kupata mahitaj yake naona ni bure tu.
 
Back
Top Bottom