Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Wachaga wanafikri bado wanaishi miaka ya 1960.

Sasa hivi kila kona inabadirika na hatimae kila mkoa utafikia hatua kama hizo.

Sasa hivi makabila yote yanasoma, na kufanya biashara, kila mtu kajanjaruka hakuna fursa itampita tofauti na zamani kwa kuwa wachaga waliwahi kujanjaruka basi kila fursa walikuwa wanakamata wao.

Sasa hivi ikitangazwa nafasi ya ajira mchaga hatumi kimemo kwa mjomba ake tena bali anaenda kwenye interview ambayo anaenda kukutana na watu wa makabila yote wenye expirience kama yake na kazi anapata aliefaulu interviews vizuri.
Sasa wachaga wakiona hivyo wanapata hasira wanafikiri Magu ni mkabila ana wabania[emoji23][emoji23][emoji23]

Sikieni! Ni hali imebadirika fursa inaonwa na kila kabila sasa hivi, so msijifanye kuonewa na mkiendelea na hii mentality yenu ya miaka ya 60 mtalia sana.
Unafeli sana mzee, wachaga wanaenda kwenye viwanda sasa hivi, consultancy services n.k hawa deal na retail businesses tena, hawa ni wasomi, sijui kama unajua bond and stocks, cryptocurrency and the like...jidanganyeni hapo kariakoo sogea pwani angalia wamiliki wa viwanda, they are taking over kwa waturuki n.k
 
Yaani heli mkaishi nchi mliyopakana nayo maana mnafanana tabia. mnajisikia hadi kero! Mbona mmejazana mikoa ambayo haijaendelea mnatafuta nini? Si mkaishi kwenu kulikoendelea? Biashara zenu magumashi tupu ujanja2 tupu efd mnazo lakini hamtoi risiti! Tabia zenu siyo za kitz! I wish muishi kama mapambo tu msipate nafasi ya kuiba tena.
Tunaangalia fursa mana wengi wa watz mna fursa kibao lakini hamzioni ndio mana tunavamia chap. Huko umakondeni Magufuli alipiga marufuku mtu wa nje yao kuuza korosho unajua kwanini?
 
Moshi ninapapenda kwa usafi, kwa kweli wanajitahidi sana
 
Iko wazi kabisa. Sitaki kumsemea huyo mwenye kutenga watu kwa ukanda na ukabila. Ila chuki kubwa sana kwa wachagga.
Mfumo umebadirika kijana! Hakuna ajira za kumuandikia mjomba kimemo siku hizi, kila kabila ni wasomi kwa hiyo mtakutana kwenye interview. Na fursa za biashara zinagombewa na kila kabila siku hizi sasa nyie mkiona huo mnyang'anano wa fursa mnahisi kutengwa.
 
Unafeli sana mzee, wachaga wanaenda kwenye viwanda sasa hivi, consultancy services n.k hawa deal na retail businesses tena, hawa ni wasomi, sijui kama unajua bond and stocks, cryptocurrency and the like...jidanganyeni hapo kariakoo sogea pwani angalia wamiliki wa viwanda, they are taking over kwa waturuki n.k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Viwanda vipi mzee? Na kama ni hivyo mbona mnalalamika kwamba mzee anawabana?

Hii siyo 1960 mzew ni 2020 ambapo kila fursa inachunguliwa na kila mtu.
 
Usangi-Mwanga
20201012_102730_1.jpg
 
Ila shemeji zangu ninawakubali. Yaani nimetembea mikoa yote 26 Tanzania mpaka Zanziba yote. Hakuna mkoa kama wa Kilimanjaro na specifically Wilaya za Wachaga. Ndiyo maana wenye wivu wataendelea kujinyonga tu.
Pamoja na kuwa kwa sasa ni kama wametengwa na kusimangwa kwingi lakini hawajakata tamaa. Wao ni kwa MATENDO na maneno yenu tupa kule. Wakimaliza Xmas kuanzia tarehe 26 na kuendelea ni vikao cha maendeleo kwa kila koo ili kujipima walipofanikiwa na walipokwama kwa mwaka mzima uliopita. Wakimaliza vikao cha koo wanafanya vya familia au wengine wanaanza na familia. Hao ndiyo wachaga na hata tuwachukie hatutaweza kuwafikia. By the time tunawafikia wao watakuwa dunia nyingine kabisa. Kuna eneo moja uchagani kwa sasa wanajiwekea lami yao. TARURA wanashirikishwa ipasavyo na wanaitwa kuisimamia tena wanapewa transport allowance. Huko ndiko kwa wachagga.

Mliwaondoa katika madaraka wao hawaliilii bali wanajipanga na kufanya plan B ndiyo maana hata wakistaafu huwa wanaendelea vizuri na maisha yao bila stress tu. Hawa ni kuwapenda tu maana kuwachukia haisaidii KABISA.
@Zogwale hakuna cha shemeji zako bana we ni mchaga pure usiwasingizie mashemeji[emoji1][emoji1][emoji1787]

Nyie endeleeni kujisifia tu baasi
 
@Zogwale hakuna cha shemeji zako bana we ni mchaga pure usiwasingizie mashemeji[emoji1][emoji1][emoji1787]

Nyie endeleeni kujisifia tu baasi
Hapana Mkuu witnessj Mimi nilioa huko miaka mingi imepita. Ninawafahamu wachagga mno na ukweli maisha yangu na ndugu zangu yalibadilika baada ya kuoa uchagani. Nilishalisemea sana hili jambo.
 
Unafeli sana mzee, wachaga wanaenda kwenye viwanda sasa hivi, consultancy services n.k hawa deal na retail businesses tena, hawa ni wasomi, sijui kama unajua bond and stocks, cryptocurrency and the like...jidanganyeni hapo kariakoo sogea pwani angalia wamiliki wa viwanda, they are taking over kwa waturuki n.k
Tutajie viwanda vya wachaga
 
Ha ha ila sasa wamezidisha mzee, the hype ila ni vizuri kwa uchumi wa mkoa na nchi, wanaemda kutoboka huko tena vibaya mno...nadhani huu utamaduni udumishwe kwa makabila yote, December kila mtu arudi kwao tubaki wakimbizi tuu mijini

Kuna namna fulani kama kuna favors ulizokuwa unapata zikibanwa kidogo unajaribu kumwonesha yule mbanaji kwamba bado uko fit.

Swala la kwenda home kipindi cha holiday ni swala zuri sana, lakini ni kama tamaduni.
 
Kuna watu wananuna! Aliyekutangulia katutangulia tu usipokubali hiyo tunaita Wivu!
 
Back
Top Bottom