Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio wivu
Wanajistukia..
Wakoloni walijenga shule za secondary zaidi
Ya 200 .huko Kilimanjaro
Tanganyika inapata uhuru wao wametangulia
Kielimu na kiuchumi..
Wao kuwazidi wengine ni kitu expected.
Why wanatumia nguvu kubwa Ku brag?
Wao Kwa sababu ya mlima Kilimanjaro wanapata watalii hadi vijijini..ni advantage
Kiuchumi..
Why iwe ajabu wao kupiga hatua?
Au wanaona wengine wanakuja juu ndo
Wanatafuta hizi sifa za kijinga??
Wametutangulia nin? Sasa labuda huo ufala wa kina manka kuliwa na wazee ndio mnaona ujanja sio .Kuna watu wananuna! Aliyekutangulia katutangulia tu usipokubali hiyo tunaita Wivu!
Karibu sana kamanda, mi Niko hapa machame mfoni, njoo unywe mbegeAiseeee !!! sijawahi kufika Moshi ila sifa zenu nazisikia , hongereni sana
Hizo shule hazikuachwa na wakoloni.Nimesema shule za secondary zaidi ya 200
Alizoacha mkoloni Kilimanjaro..
Acha ushamba nyie, alafu muwe mnatembea hivo vinyumba huku kwa wahaya vimejaa kila kona hapo hamna jipya labda muwatambie wasukuma na wahaHuu ndio usukuma sasa. Hakuna shule ya mkoloni uchagani zote ni za wananchi kabila takatifu wachaga. Zilijengwa kupitia KNCU hata barabara zetu tulijenga wenyewe. Nyamaza.
Uchaga ilishakua state tangu ukoloni.
Wakati nyie mnakimbizana na ng’ombe sisi tu naingia darasani. Wengine wanacheza chagulaga.
Wakati wahaya wanatusambazia UKIMWI sisi tuko vyuo vikuu tunakaba fani.
Wengine wanacheza sangula mdundiko na kunywa ulanzi sisi tumefika kwao kuweka maduka na kuwafundisha biashara.
Hahaha usicheze na taifa takatifu kaa chini.
Ukitaka kuendelea attach na mchaga vinginevyo endelea kupiga domo
WACHAGA HOYEE
KILIMANJARO SAAAFIIIIII. Magufuli hovyoooooo.
[emoji3][emoji3][emoji3]acha wenge kumbe bk inawapa presha mpaka mnaweweseka. Bukoba itabaki juu hata mfanyejeJamaa yule wa bukoba anakwama wapi,tunasubiri zile picha zake za siku zote za bk,katerero n.k
Bado hujaweka zote mkuu,huwa ni zile zile tunazifahamu,usisahau na picha za stend pamoja na soko kuu la bk,huko kanyigo hatuna shida saana[emoji3][emoji3][emoji3]acha wenge kumbe bk inawapa presha mpaka mnaweweseka. Bukoba itabaki juu hata mfanyeje View attachment 1659265
Hata nyie hapo hamjaweka picha za moshi mjini mmeweka za vijijini kwa babu zenu sasa soko na stendi vimetoka wapi mkuu au presha nn, bk hatuna nyumba za tembe ndugu yangu tembea uoneBado hujaweka zote mkuu,huwa ni zile zile tunazifahamu,usisahau na picha za stend pamoja na soko kuu la bk,huko kanyigo hatuna shida saana
Mzee stendi ya bukoba ipo inaendelea kujengwa kyakairabwa.Bado hujaweka zote mkuu,huwa ni zile zile tunazifahamu,usisahau na picha za stend pamoja na soko kuu la bk,huko kanyigo hatuna shida saana
Kubalini tu kwamba mziki hamtaweza[emoji3][emoji3][emoji3]acha wenge kumbe bk inawapa presha mpaka mnaweweseka. Bukoba itabaki juu hata mfanyeje View attachment 1659265
View attachment 1659118migombani huko hadi lami
[emoji3][emoji3][emoji3]acha wenge kumbe bk inawapa presha mpaka mnaweweseka. Bukoba itabaki juu hata mfanyeje View attachment 1659265
Mzee stendi ya bukoba ipo inaendelea kujengwa kyakairabwa.
Soon Ile ya Kati inahamishiwa huko. Sijui sasa utasema niniView attachment 1659349
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hilo nalo wamejenga wachagga au la mkoloni 🤣🤣🤣Kibosho churchView attachment 1659127