Hawa na tugari twao twa million 2 wanatulingishia sisi wazee wa flying [emoji574]....View attachment 1659093View attachment 1659096
Lengo la uzi huu ni kupeana changamoto na mikoa mingine ili muwe na hasira ya ku hustle zaidi.
Oneni maendeleo ya makazi ya Kilimanjaro sio kwamba ni serikali imefanya! Ni nguvu za watu,ndio mana hakuna mchaga anaerudi kwao kizembe lazma awe na chochote kitu bila hivyo ni aibu. Sasa ili kutoa aibu lazma ufanye vitu.
Kama upo
Bukoba
Mbeya
Dom
Lindi n.k tuonenesheni picha za mazingira ya kwenu
Kama upo Moshi ruksa kujazia mapicha kama yote ili kukazia uzi huu
Na vipi kuhusu sisi wa masaki there there 🤣🤣🤣🤣Sisi tuliozaliwa kariakoo (Gerezani) tunaruhusiwa kutuma picha?
Ndio maana mnachukiwa. Mlipopata nafasi mkazitumia kupeleka lami vijijini wakati wengine hawajapata. Unafurahia kuwepo lami utadhani mmejenga kwa pesa yenu.View attachment 1659118migombani huko hadi lami
Acha!! Nilijua ni Misri au Italy hapo.Kibosho churchView attachment 1659127
Takataka kama hao, nyakati kama hizi za Christmas utaikuta station ya train pale imebebeshwa mabegi inapelekwa Moshi 🤣🤣🤣.Naona umekimbia kwenu umeenda kuoa kwenye jamii unayoiabudu..
What a shame!
It shows how weak your mind is and how weak your decision making is.....
Something strong minded and strong willed men never do....
Heheh tupia picha za kwenu basi [emoji23][emoji23][emoji23]Ila wachaga ni washamba sana, yaan hii sikukuu ndo imenifumbua macho![emoji848][emoji848]
Nyie endeleeni kujaza server tu
Maxence Melo
Wachaga wako vizuri lazima tuwpe pongeziAiseeee !!! sijawahi kufika Moshi ila sifa zenu nazisikia , hongereni sana
Kko,kino,ilala,tmk huko kwa maconcordSisi tuliozaliwa kariakoo (Gerezani) tunaruhusiwa kutuma picha?
Acha blah blah weka picha za kwenu tuoneWachaga wanafikri bado wanaishi miaka ya 1960.
Sasa hivi kila kona inabadirika na hatimae kila mkoa utafikia hatua kama hizo.
Sasa hivi makabila yote yanasoma, na kufanya biashara, kila mtu kajanjaruka hakuna fursa itampita tofauti na zamani kwa kuwa wachaga waliwahi kujanjaruka basi kila fursa walikuwa wanakamata wao.
Sasa hivi ikitangazwa nafasi ya ajira mchaga hatumi kimemo kwa mjomba ake tena bali anaenda kwenye interview ambayo anaenda kukutana na watu wa makabila yote wenye expirience kama yake na kazi anapata aliefaulu interviews vizuri.
Sasa wachaga wakiona hivyo wanapata hasira wanafikiri Magu ni mkabila ana wabania[emoji23][emoji23][emoji23]
Sikieni! Ni hali imebadirika fursa inaonwa na kila kabila sasa hivi, so msijifanye kuonewa na mkiendelea na hii mentality yenu ya miaka ya 60 mtalia sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe za kwenu singida ziko wapi mkuuAcha blah blah weka picha za kwenu tuone
Unaleta siasa tena
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Teh teh teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe za kwenu singida ziko wapi mkuu
Ni wengi tu ambao hawajaoa makabila au mikoa waliyotoka. Hatufungamani na ukabila wala ukanda. Na siyo kuabudu bali ni kuheshimu. Wachagga waheshimiwe tu. Aliyeanza kaanza tu na wengine tumefuata. Tatizo hatukubali ukweli ila tumebaki kuwapiga vita kila eneo. Hamtawaweza wachagga walishatupita mbali mno.Naona umekimbia kwenu umeenda kuoa kwenye jamii unayoiabudu..
What a shame!
It shows how weak your mind is and how weak your decision making is.....
Something strong minded and strong willed men never do....