Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

View attachment 1659093View attachment 1659096
Lengo la uzi huu ni kupeana changamoto na mikoa mingine ili muwe na hasira ya ku hustle zaidi.
Oneni maendeleo ya makazi ya Kilimanjaro sio kwamba ni serikali imefanya! Ni nguvu za watu,ndio mana hakuna mchaga anaerudi kwao kizembe lazma awe na chochote kitu bila hivyo ni aibu. Sasa ili kutoa aibu lazma ufanye vitu.

Kama upo
Bukoba
Mbeya
Dom
Lindi n.k tuonenesheni picha za mazingira ya kwenu

Kama upo Moshi ruksa kujazia mapicha kama yote ili kukazia uzi huu
Hawa na tugari twao twa million 2 wanatulingishia sisi wazee wa flying [emoji574]....
 
Ethnic bragging+Ethnic Superiority complex=Ethnic Cleansing
Mara nyingi wanaobragg kuhusu ukuu wa makabila yao ni wakibosho wanasahau hakuna kabila moja hivi linaloitwa wachagga wako divisive Sana Kuna Wakibosho, Machame, Wauru Wamarangu, Warombo na Wamwika hata lugha hawasikilizani japo wamepishana kwa mito na mifereji tu hawaazimani msamiati wala kitu chochote.
 
Sisi tuliozaliwa kariakoo (Gerezani) tunaruhusiwa kutuma picha?
Na vipi kuhusu sisi wa masaki there there 🤣🤣🤣🤣

Tunaruhusiwa kuBRAG na kutuma mipicha au itaonekana hata ukiishi MASAKI hewa ni ile ile, wote tutakufa tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio maana mnachukiwa. Mlipopata nafasi mkazitumia kupeleka lami vijijini wakati wengine hawajapata. Unafurahia kuwepo lami utadhani mmejenga kwa pesa yenu.
Aya na ww peleka kwenu kwa sababu huchukiwi
 
Naona umekimbia kwenu umeenda kuoa kwenye jamii unayoiabudu..

What a shame!

It shows how weak your mind is and how weak your decision making is.....

Something strong minded and strong willed men never do....
Takataka kama hao, nyakati kama hizi za Christmas utaikuta station ya train pale imebebeshwa mabegi inapelekwa Moshi 🤣🤣🤣.

Mama yake kijijini hata kumtumia MIA ya sikukuu haina.
 
1608984008069.png

Usiniulize wapi?
 
Wachaga wanafikri bado wanaishi miaka ya 1960.

Sasa hivi kila kona inabadirika na hatimae kila mkoa utafikia hatua kama hizo.

Sasa hivi makabila yote yanasoma, na kufanya biashara, kila mtu kajanjaruka hakuna fursa itampita tofauti na zamani kwa kuwa wachaga waliwahi kujanjaruka basi kila fursa walikuwa wanakamata wao.

Sasa hivi ikitangazwa nafasi ya ajira mchaga hatumi kimemo kwa mjomba ake tena bali anaenda kwenye interview ambayo anaenda kukutana na watu wa makabila yote wenye expirience kama yake na kazi anapata aliefaulu interviews vizuri.
Sasa wachaga wakiona hivyo wanapata hasira wanafikiri Magu ni mkabila ana wabania[emoji23][emoji23][emoji23]

Sikieni! Ni hali imebadirika fursa inaonwa na kila kabila sasa hivi, so msijifanye kuonewa na mkiendelea na hii mentality yenu ya miaka ya 60 mtalia sana.
Acha blah blah weka picha za kwenu tuone
Unaleta siasa tena

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Naona umekimbia kwenu umeenda kuoa kwenye jamii unayoiabudu..

What a shame!

It shows how weak your mind is and how weak your decision making is.....

Something strong minded and strong willed men never do....
Ni wengi tu ambao hawajaoa makabila au mikoa waliyotoka. Hatufungamani na ukabila wala ukanda. Na siyo kuabudu bali ni kuheshimu. Wachagga waheshimiwe tu. Aliyeanza kaanza tu na wengine tumefuata. Tatizo hatukubali ukweli ila tumebaki kuwapiga vita kila eneo. Hamtawaweza wachagga walishatupita mbali mno.

Mimi nilipenda kama wapendavyo wanaume bila hata kuuliza kabila wala mkoa. Ukabila na mkoa vinakuja baada ya kupenda. Na Mimi nimejifunza mengi mazuri kwao wachagga nikaongezea na yangu na maisha mazuri ninayo Mimi na ndugu zangu wote.

KIFUPI kwetu mpaka majirani ZANGU wameoa uchagani na Mimi ndiyo nilifungua njia. Wanawake hard worker wenye brain na upendo kwa familia ni nani asiyempenda? Hawana muda wa majungu na kusengenyana kama ilivyo kwa makabila mengi. Wao ni kazi na malezi bora kwa watoto. Acha nijidai wala sijali mtu akininanga maana maisha ni yangu na wachagga wote Mimi ni shemeji zangu.
 
Back
Top Bottom