PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Shida ukichomwa hukumu yake huwa hamna hurumaWe nenda na gari paki pale chalinze.....
Ukifatwa na mtu akikuambia kuna Box za kubeba juwa hao ni wahamiaji haramu wanatakiwa kubebwa 😄
Huu mtandao ni mrefu sana mzee unaanzia mbali
Ukiwa ndani mule maporini wana vituo vyao
Ova
Hakuna Utajiri lelemama kama vijana wa Bongofleva wanavyodhani.🥷Kwenye Sector ya usafiri kuna Ma mafia wengi sana..
.
I just saw picha ya gari la mzigo tena loose cargo inasafirisha wahamiaji haramu nikashangaa sana..
Yani gari ukiona mzigo ni bomba za maji zimewekwa kwa kichanja..
.
Ila ndani kuna chumba raia wamepumzika wanasafiri na maisha yanaendelea..
Sasa ukisikia BEI ya kusafirisha kichwa kimoja ndo utajua kwanini wanene ndo wanapiga hizi kazi...
.
Chuma imekula raia 62 ndani Yani inakimbizana na uwezo wa Bus kubeba abiria na huwezi hisi...
.
Aliyegundua hili nafikiri kuna namna anahusika hapa maana huwezi fikiria kwa akili hizi za Kizimkazi festival..
.
Anyway video ya wasafi iko hapo chini angalie ujionee wenyewe kwaView attachment 3077758View attachment 3077759View attachment 3077760 undani zaidi..
Na hakuna KesiKuna umafia sana kwenye hiyo biashara, jamaa kachomwa
Si umeona hapo wahamiaji haramu wamekamatwa
Kuna mwamba atakuja kuwafaulisha $300-500 kwa kila kichwa yaani lazima wafike wanapoenda hao
Biashara Halali inachelewa Sana maendeleoHakuna Utajiri lelemama kama vijana wa Bongofleva wanavyodhani.
Hapo atakwamnia Biashara ya Bomba inalipa.😆😆
Tanzania hiyo wamejaaliwa akili za uharibifu kama wangezitumia kufanya ubunifu tungekuwa mbali🥷Kwenye Sector ya usafiri kuna Ma mafia wengi sana..
.
I just saw picha ya gari la mzigo tena loose cargo inasafirisha wahamiaji haramu nikashangaa sana..
Yani gari ukiona mzigo ni bomba za maji zimewekwa kwa kichanja..
.
Ila ndani kuna chumba raia wamepumzika wanasafiri na maisha yanaendelea..
Sasa ukisikia BEI ya kusafirisha kichwa kimoja ndo utajua kwanini wanene ndo wanapiga hizi kazi...
.
Chuma imekula raia 62 ndani Yani inakimbizana na uwezo wa Bus kubeba abiria na huwezi hisi...
.
Aliyegundua hili nafikiri kuna namna anahusika hapa maana huwezi fikiria kwa akili hizi za Kizimkazi festival..
.
Anyway video ya wasafi iko hapo chini angalie ujionee wenyewe kwaView attachment 3077758View attachment 3077759View attachment 3077760 undani zaidi..
Sura zao kama Alishabaab.......au hawa ndio wanaotuteka? serikli idilinao vizuri watwambie.🥷Kwenye Sector ya usafiri kuna Ma mafia wengi sana..
.
I just saw picha ya gari la mzigo tena loose cargo inasafirisha wahamiaji haramu nikashangaa sana..
Yani gari ukiona mzigo ni bomba za maji zimewekwa kwa kichanja..
.
Ila ndani kuna chumba raia wamepumzika wanasafiri na maisha yanaendelea..
Sasa ukisikia BEI ya kusafirisha kichwa kimoja ndo utajua kwanini wanene ndo wanapiga hizi kazi...
.
Chuma imekula raia 62 ndani Yani inakimbizana na uwezo wa Bus kubeba abiria na huwezi hisi...
.
Aliyegundua hili nafikiri kuna namna anahusika hapa maana huwezi fikiria kwa akili hizi za Kizimkazi festival..
.
Anyway video ya wasafi iko hapo chini angalie ujionee wenyewe kwaView attachment 3077758View attachment 3077759View attachment 3077760 undani zaidi..
Mkuu hawa hawana muda wa kuishia TanzaniaSura zao kama Alishabaab.......au hawa ndio wanaotuteka? serikli idilinao vizuri watwambie.
Miss mariaah si ndio mnaopenda?Asilimia kubwa ya matajiri utajiri wao wanaupata Kwa njia haramu kama ivyo Kuna makafara drug and human trafficking
Labda kusimamia uchaguziSasa hawa wahamiaji Haram wakiingia nchini wanakua Na kazi gani
Hapana kila kitu Na kiasi binafsi napenda kiasiMiss mariaah si ndio mnaopenda?
Sawa......Kiasi hakitoshi kula Bata......lazima uwe na ziadaHapana kila kitu Na kiasi binafsi napenda kiasi
Uwoga sasa ndio unazidi kutoka Somalia Hadi Malawi ukiwa peke yako ni ngumu sana inahitaji pesa nyingi zaidiHivi kwani mhamiaji haramu mmoja akiamua kusafiri mwenyewe mbona sio rahisi kukamatwa