mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,652
- 4,468
Inalipa sana kulikoSio tu inafanywa na matajiri wakubwa inaonekana inawalipa sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inalipa sana kulikoSio tu inafanywa na matajiri wakubwa inaonekana inawalipa sana...
Watanzania wengi wanaoishi South Africa Kwa sasa Wana Passport, coz Kuna Utaratibu pia wa ku apply Passport mpya ukiwa huko huko kupitia Ubalozi wa Tanzania hapo Pretoria.Kongo kwa barabara hamna kitu kutoka dar mfano kwa barabara kama unataka kwenda Kinshasa utatumia miezi mitatu
Tanzania haikwepeki kwenye safari yao ya kwenda South Africa sababu wakitaka kupitia kongo lazima wapitie Kenya Uganda halafu waingie Eastern kongo kwenye waasi kama wote wataporwa kila walichonacho wakiweza ndio wasafiri hadi lubumbashi
Wasomali wanakuwa na passport waethiopia hamna
Tanzania pia ni wahanga hili swala watanzania kibao wanakamatwa Afrika kusini hawana passport sababu ya ugumu kupata wanarudishwa nchini asante kwa mahakama huwapiga faini ndogo elfu 50 na kuwaachia faini ambayo ni ndogo kuliko bei ya passport kama serikali ingewapa bila longolongo asante mhimili wa mahakama kujitambua na kutambua changamoto ya waomba passport wanapata na kuwapa hukumu ya huruma
Mahakama mbariiiwe
Huyu dogo mbele kushoto mara ya 3 hii anakamatwa na kuwa deported back lakini hakomi, yani kila wakikamatwa baada ya mwaka miaka 2 unamuona tenaKwenye Sector ya usafiri kuna Ma mafia wengi sana. I just saw picha ya gari la mzigo tena loose cargo inasafirisha wahamiaji haramu nikashangaa sana.
Yaani gari ukiona mzigo ni bomba za maji zimewekwa kwa kichanja. Ila ndani kuna chumba raia wamepumzika wanasafiri na maisha yanaendelea.
Sasa ukisikia BEI ya kusafirisha kichwa kimoja ndo utajua kwanini wanene ndo wanapiga hizi kazi. Chuma imekula Raia 62 ndani Yani inakimbizana na uwezo wa Bus kubeba abiria na huwezi hisi.
Aliyegundua hili nafikiri kuna namna anahusika hapa maana huwezi fikiria kwa akili hizi za Kizimkazi festival.
Anyway video ya wasafi iko hapo chini angalie ujionee wenyewe kwa undani zaidi.
Hao huwa wanafananaHuyu dogo mbele kushoto mara ya 3 hii anakamatwa na kuwa deported back lakini hakomi, yani kila wakikamatwa baada ya mwaka miaka 2 unamuona tena