PICHA: Hii biashara ya usafirishaji wahamiaji inafanywa na matajiri wakubwa wenye connection na vigogo

PICHA: Hii biashara ya usafirishaji wahamiaji inafanywa na matajiri wakubwa wenye connection na vigogo

Kwa muonekano wao sidhani kama kuna yeyote ambaye uzito wake unazidi kilo 60. Hivyo tukichukulia wastani wa kilo 60 kwa kila mmoja jumla kwa wote 62 itakuwa kilo 3,720 ambazo ni wastani wa tani 4. Hivyo uzito wa watu na hizo bomba zilizowekwa hauwezi kuzidi tani 5.
Wana miili ya afya hao kilo hazizidi 55
 
Ndugu zao South Africa wametajirika na wako na pesa nyingi, so wanahitaji nguvu kazi kusaidia Biashara zao, hivyo huwagaramia kusafirisha Ndugu zao toka Ethiopia kwenda South Africa Kwa pesa nyingi Sana..!

Kukitoa kichwa kimoja toka Namanga mpaka Tunduma ni zaidi ya Milioni 1...! Kama Hawa walikua 62, means gharama ilikua zaidi ya Milioni 62 na pesa zote zinalipwa na Ndugu zao ambao wapo South Africa..!

Cha ajabu, kikwazo Kikubwa Cha safari Yao kipo Tanzania, na wao huongea kuwa wanapovuka Tanzania tu, hujihesabia washafika South Africa, Nchi nyingine wanapita tu kiulaini...!

Kinachonishangaza wengine wanakua na Passport means wanakua Transit sijui Kwa Nini kunakua na Ugumu wanapopita Tanzania.
Mikataba ya nchi na nchi, Kenya wanaingia bila Visa hapa kwetu lazima wawe na Visa na SA wanatakiwa wawe na Visa. Sisi tunaisaidia Ethiopia kuwadhibiti na tunaisaidia SA pia
 
We jamaa akili yako imejaa ubaguzi ubaguzi tu, naona unaandika pumba juu hadi chini hao sio Al shabaab wala sio wasomali na possibility kubwa sio waisilamu kabisa.

Wahamiaji wanao pita Tanzania wanatokea Ethiopia, wanakimbia Unyanyasi wa Ki Kabila/Ethnicity huko kwao.
Mkuu inaonekana uko Pre-occupied na ubaguzi na udini.

Kwenye comment yangu nimetaja wapi Ubaguzi au Uislam?
 
Mikataba ya nchi na nchi, Kenya wanaingia bila Visa hapa kwetu lazima wawe na Visa na SA wanatakiwa wawe na Visa. Sisi tunaisaidia Ethiopia kuwadhibiti na tunaisaidia SA pia
Mkuu...! Kwa Mwafrica ukiwa na Passport na unasafiri toka Nchi Yako na unapita Nchi kama 3 mpaka kufika unapokwenda, huitaji kuomba Visa Kwa kila Nchi unayopita, wewe unajurikana kama ni TRANSIT, ukifika Boda unaulizwa unakokwenda, kama unapita tu kwenye Hiyo Nchi, unawaambia wewe ni TRANSIT.

Watakupa siku hazizidi 7, kwamba Kwa vile wewe ni TRANSIT na unapita tu kwenye Nchi Yao, ndani ya siku hizo uwe umevuka tayari, otherwise wakikukuta ume overstay ni Jela.

Lakini sio Kwa Hawa Wasomali, Hawa wapo Transit tu...!

Labda kama Kuna Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia kuwakamata kila Waethiopia wanaopita hapa.
 
Mkuu...! Kwa Mwafrica ukiwa na Passport na unasafiri toka Nchi Yako na unapita Nchi kama 3 mpaka kufika unapokwenda, huitaji kuomba Visa Kwa kila Nchi unayopita, wewe unajurikana kama ni TRANSIT, ukifika Boda unaulizwa unakokwenda, kama unapita tu kwenye Hiyo Nchi, unawaambia wewe ni TRANSIT.

Watakupa siku hazizidi 7, kwamba Kwa vile wewe ni TRANSIT na unapita tu kwenye Nchi Yao, ndani ya siku hizo uwe umevuka tayari, otherwise wakikukuta ume overstay ni Jela.

Lakini sio Kwa Hawa Wasomali, Hawa wapo Transit tu...!

Labda kama Kuna Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia kuwakamata kila Waethiopia wanaopita hapa.
Utakuwa hujawahi kusafiri? Hebu tuambie wewe ukikata Visa ya Misri utapita Kenya bila mahitaji ya visa je Ethiopia na Sudan utapita bila Visa?
 
Kwanini wasipitie Uganda Kisha Kongo
Kongo kwa barabara hamna kitu kutoka dar mfano kwa barabara kama unataka kwenda Kinshasa utatumia miezi mitatu

Tanzania haikwepeki kwenye safari yao ya kwenda South Africa sababu wakitaka kupitia kongo lazima wapitie Kenya Uganda halafu waingie Eastern kongo kwenye waasi kama wote wataporwa kila walichonacho wakiweza ndio wasafiri hadi lubumbashi
Mkuu...! Kwa Mwafrica ukiwa na Passport na unasafiri toka Nchi Yako na unapita Nchi kama 3 mpaka kufika unapokwenda, huitaji kuomba Visa Kwa kila Nchi unayopita, wewe unajurikana kama ni TRANSIT, ukifika Boda unaulizwa unakokwenda, kama unapita tu kwenye Hiyo Nchi, unawaambia wewe ni TRANSIT.

Watakupa siku hazizidi 7, kwamba Kwa vile wewe ni TRANSIT na unapita tu kwenye Nchi Yao, ndani ya siku hizo uwe umevuka tayari, otherwise wakikukuta ume overstay ni Jela.

Lakini sio Kwa Hawa Wasomali, Hawa wapo Transit tu...!

Labda kama Kuna Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia kuwakamata kila Waethiopia wanaopita hapa.
Wasomali wanakuwa na passport waethiopia hamna

Tanzania pia ni wahanga hili swala watanzania kibao wanakamatwa Afrika kusini hawana passport sababu ya ugumu kupata wanarudishwa nchini asante kwa mahakama huwapiga faini ndogo elfu 50 na kuwaachia faini ambayo ni ndogo kuliko bei ya passport kama serikali ingewapa bila longolongo asante mhimili wa mahakama kujitambua na kutambua changamoto ya waomba passport wanapata na kuwapa hukumu ya huruma

Mahakama mbariiiwe
 
Ulaya wapo ndugu zao wengi na wakifika south Africa Tu wameshagika ulaya.... Tanzania ndiyo nchi ngumu kupitia kwasababu ya umbali mrefu kutoka arusha hadi tunduma ndiyo maana hata pesa yake kuwasafirisha ni ndefu sana zaidi ya milioni 4 kwa mtu mmoja
Pia kuna boda au route ya kupitia Mozambique huwa wanatumia
 
Back
Top Bottom