PICHA: Hii biashara ya usafirishaji wahamiaji inafanywa na matajiri wakubwa wenye connection na vigogo

Watanzania wengi wanaoishi South Africa Kwa sasa Wana Passport, coz Kuna Utaratibu pia wa ku apply Passport mpya ukiwa huko huko kupitia Ubalozi wa Tanzania hapo Pretoria.

Kinachofanya Watanzania wengi kukamatwa na kurudishwa ni Kwa sababu wame overstay....! Free Visa ni kuanzia mwezi 1 mpaka 3, Sasa muda ukiisha Kwa sababu za Maisha wengi hushindwa kwenda ku renew, mfano mtu anaishi Cape town, inabidi asafiri Boda ya jirani labda Namibia, ni masaa kadhaa, gharama za safari n.k Watu wengi wanaamua kuendelea na Maisha Yao, siku akikamatwa, Passport anayo lakini anakua ame overstay, kama huna pesa utaenda Jela na utarudishwa Bongo.
 
Huyu dogo mbele kushoto mara ya 3 hii anakamatwa na kuwa deported back lakini hakomi, yani kila wakikamatwa baada ya mwaka miaka 2 unamuona tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…