Picha hii ilipigwa 1950 mjini Zanzibar

Picha hii ilipigwa 1950 mjini Zanzibar

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1636888602749.png
 
Ukiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli. Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!
 
Mwaka 1950 utumwa ulisha pigwa marufuku duniani kote.
Waafrika wote kwenye hii picha inaonekana ni watu hohehahe hao waasia inaoneka wana nafuu ya kiuchumi na imekuwa hivyo mpaka sasa kwa tanzania waafrika (weusi) ni wa mwisho kiuchumi lakini afrika magharibi matajiri wengi ni weusi kwa mfano Nigeria top 5 hakuna mtu wa asia angalau ghana kidooogo ndo wapo waasia wachache top 5!
 
Waafrika wote kwenye hii picha inaonekana ni watu hohehahe hao waasia inaoneka wana nafuu ya kiuchumi na imekuwa hivyo mpaka sasa kwa tanzania waafrika (weusi) ni wa mwisho kiuchumi lakini afrika magharibi matajiri wengi ni weusi kwa mfano Nigeria top 5 hakuna mtu wa asia angalau ghana k ndo wapo waasia wachache top 5 !!!
Waasia wengi babu zao waliingia na idea za biashara. Waliuza meno ya tembo, madini na ngozi za wanyama na waliingiza sukari, nguo, mchele, unga wa ngano, sabuni na mafuta yote.
 
Ukiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli. Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!
Mtu mweusi aliyevaa gunia akiwa pekua miguuni huku Watu weupe wakivaa maridadi na baiskeli zao.
 
Yaani waswahili wameteswa na hawa masultan balaa, lakini hadi leo wanawwaabudu. embu cheki huyo hapo nyuma alivyochokaa ila anaona fresh tu kwasababu yupo karibu na mwarabu.

kitu kingine nimejifunza juzi ni kwamba, kumbe Wajerumani walikinunuaga kisiwa cha mafia kikawa mali ya Germany East AFrica, kwahiyo ule uozo mjinga mmoja wa zenji alikuja kusema mafia ni zanzibar, asifikiri kila kisiwa bahari ya hidi ni cha zanzibar, kama vipi hata madagascar ni zanzibar.
 
Mtu mweusi aliyevaa gunia akiwa pekua miguuni huku Watu weupe wakivaa maridadi na baiskeli zao.
Kumbuka pia hao watu weupe ndio waliokuwa wafanyabiashara katika mwambao huo!
 
yaani waswahili wameteswa na hawa masultan balaa, lakini hadi leo wanawwaabudu. embu cheki huyo hapo nyuma alivyochokaa ila anaona fresh tu kwasababu yupo karibu na mwarabu.

kitu kingine nimejifunza juzi ni kwamba, kumbe Wajerumani walikinunuaga kisiwa cha mafia kikawa mali ya Germany East AFrica, kwahiyo ule uozo mjinga mmoja wa zenji alikuja kusema mafia ni zanzibar, asifikiri kila kisiwa bahari ya hidi ni cha zanzibar, kama vipi hata madagascar ni zanzibar.
 
Hivi wewe Sky ulizaliwa wapi na kukulia wapi??---- naona unajua vyema mambo ya mwambao wa Pwani zaidi 🤣🤣.
waliwatengeneza pia waarabu weusi wengi kweli, hao kina Faiza fox wanaosumbua jf. hao huwaambii kitu, yupo tayari kumtumikia mwarabu kwa chochote alimradi tu anakula chapati na kalumati,
 
Back
Top Bottom