PICHA: Hili jengo linalojengwa Kariakoo kwa PPP ni balaa ni zaidi ya Mlimani City unaambiwa Serikali itajizolea zaidi ya TZS 2.5bn kila mwaka

2 bilion..naona aibu
 
Kabla ya kutulaumu unaonaje nyie mliobarikiwa wenye uelewa mkubwa wa jambo hili mkaja na justification ya hizo 2B na 2.5B? Huyo mbia yeye ataingiza kiasi gani?
Yaaani siku hizi watu kuhoji ni chuki na mihemko?
Mnaficha Nini?
 
Kabla ya kutulaumu unaonaje nyie mliobarikiwa wenye uelewa mkubwa wa jambo hili mkaja na justification ya hizo 2B na 2.5B? Huyo mbia yeye ataingiza kiasi gani?
Yaaani siku hizi watu kuhoji ni chuki na mihemko?
Mnaficha Nini?
Mkuu labda nikusaidie kidogo,

Mbali na hizi 2bn au 2.5bn still jengo baada ya Mkataba litakuwa Mali yetu/Serikali,

So hivyo angalia pia hi 59bn ya ujenzi
 
Nia aibu serikali kushobokea Kariakoo soko kongwe badala ya kwenda kufungua masoko mapya kwa upande mwengine.
 
PPP ni akina nani? Unakuta ni Wanu na Abdul, mnasema ni PPP😳
Kwani we mgeni hapa nchini? Humo Kariakoo kuna magorofa mengi ya viongozi wa Mbogamboga party wakiwemo wastaafu. Haya ya PPP ni miradi ya viongozi hao hao. Mtu anayeweza kulamba mgao wa more than 100B kwenye dili la kifisadi anashindwaje kujenga ghorofa la 50B?
 
Nadhani frame zitapishana ki maeneo kama ilivyo Mlimano City.
Labda tutumie kipimo cha square meter mmoja itapangishwa sh ngapi?
Na hata square meter mmoja bei yaweza kuwa tofauti kulinganisha na ni ghorofa ya ngapi n.k
 
Mkuu labda nikusaidie kidogo,

Mbali na hizi 2bn au 2.5bn still jengo baada ya Mkataba litakuwa Mali yetu/Serikali,

So hivyo angalia pia hi 59bn ya ujenzi
Ungelete mkataba humu ungekuwa umetusaidia sana!
Words come so easy and often intentionally jumbled.
 
Nadhani frame zitapishana ki maeneo kama ilivyo Mlimano City.
Labda tutumie kipimo cha square meter mmoja itapangishwa sh ngapi?
Na hata square meter mmoja bei yaweza kuwa tofauti kulinganisha na ni ghorofa ya ngapi n.k
Hakuna mambo ya Sqm kkoo, na bei zinatofautiana ndio ila huko ambapo frame ya nje haifiki 2M ujue hakuna issue na biashara imedoda.
 
Huyu Kafulila level yake ni Uwaziri hakika Rais amepata mtu sahihi pale PPP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…