Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Duu 😳😳 sasa wanataka nini, watoe order anyekamatwa wakachukue mpaka familia yake wote ndani maana familia zinajua ujinga huo, kama kaoa wakambebe na mkewe na watoto, kama Bado waswage wazazi wake .
Pumbavu!
 
Duh, hebu tushushie uzi wa scandal ya Kikwete na gas jinsi tulivyopigwa
 
Na ni kwanini kuna gap kwenye hiyo RB.. Linganisha na hii.. Nimeficha baadhi ya tasrifs
 
Utaua wengi, cha kufanya ni kutoa elimu kwanza kama vile tulivyoambiwa kuhusu katiba.
Kwenye hivyo vielelezo kuna mtu kaiba uma.

Nani Tanzania tena huko Morogoro anatumia Uma kulia chakula.

Kuna watu bado wana akili za wanyama bado hawajaevlove kikamilifu, hata kuwapiga shoti nayo ni Elimu
 
Maskini wengi wana roho ya uharibifu, kila kitu wao ni kuharibu kwa manufaa yao binafsi, usimwamini mtu maskini, umaskini ni mzigo.
 
Wanatakaje Hao
Isitembee Ama Nini
Kajibuni ajira,katika uchunguzi,itafutwa kama amewahi kufanya kazi ya kumwingizia kipato halali na mazingira yanayo mzunguka,baada ya hapo tusogee hatua ya pili ya kuhujumu.
 
Tukimuua? Mi na nani? Kufa ahadi kwa kila mtu
 
Huu ni uhujumu uchumi. Hawa wanafanya kazi ya kujiibia au kuharibu mali yao wenyewe ambayo wameitolea jasho.
Ushauri: Kiundwe kikosi kazi maalumu kwa ajili ya ulinzi wa SGR.
 
Tukimuua? Mi na nani? Kufa ahadi kwa kila mtu
Wewe na wanzako si huwa mnajigamba kwa kumuua Dkt Magufuli, yaani ni kama Nape ambavyo huwa anatembea kifua mbele akijua Dkt Magufuli kamuua na hakuna wa kumfanya kitu hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…