Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Hahahaha, Nyerere aliingizwa chaka kuhusu siasa za ujamaa, na matokeo yake ikawa mateso kwa raia wake. Na hii ilisababisha akoswe koswe kupinduliwa mara mbili, pia ilimvunjia heshima kinamna fulani. Sema ndo hivyo alikuwa "baba yetu". Kwahiyo akuna aliefikiria au anaefikiria kumvunjia heshima kutokana na madhila yale.Nimecheka sana hapo kunywa chai na viazi. Nyerere alikuwa Saddist sana hadi kwa watoto wake hakupenda kuwaona wanafuraha na maendeleo.
Namuona kwenye I'd avatar picha yakoHahahaha, Nyerere aliingizwa chaka kuhusu siasa za ujamaa, na matokeo yake ikawa mateso kwa raia wake. Na hii ilisababisha akoswe koswe kupinduliwa mara mbili, pia ilimvunjia heshima kinamna fulani. Sema ndo hivyo alikuwa "baba yetu". Kwahiyo akuna aliefikiria au anaefikiria kumvunjia heshima kutokana na madhila yale.
Gari M3 . Mkuu gari Gani hiyo au Ndio chai Ya Leokama wewe unavyoshindwa kununua kagari ka m3 unabaki kupauka na jua tu kiasi kwamba hata madem hupati unabaki kupiga puchu na sabuni ndio hivyo zinapanda wajukuu wako watakusimanga babu ulishindwa hata kununua kahaba kwa buku 30 na kagar ka kakuvimbia ka m3 siku hiyo ndio utajua babu yako kwa nini aliona masaki porini,na hapo hapo mjukuu wako sio atakutia kelbu utapigwa chuma 🔫ufe sababu hukuwa na faida,, kumbe hakujua tu samia alikaza😂😂😂😂
upo kijiji gani unashangaa m3 wenzio wananunua hadi m1.5 chezea mikopo ww juzi jamaa kauza bmw kwa m7 na huez amini hakupata mteja ukishangaa ya mr bann utaona ya mshana tembea ujionee sio mnakaa sehem moja mnapitwa na vinonoGari M3 . Mkuu gari Gani hiyo au Ndio chai Ya Leo
Kwa kifupi magari yanayokunywa Sana Kwa kipindi hiki utayapata Sana pesa yako tu.upo kijiji gani unashangaa m3 wenzio wananunua hadi m1.5 chezea mikopo ww juzi jamaa kauza bmw kwa m7 na huez amini hakupata mteja ukishangaa ya mr bann utaona ya mshana tembea ujionee sio mnakaa sehem moja mnapitwa na vinono
Mlikuwa mnaishi maisha ya hovyo sana bila Internet, betting, Fa premier league, uefa champions league, Whatsapp, bila Pizza, burger name them all.
Na ndio nyie vijana wa miaka iyo mmefanya sasa hivi kizazi chetu tunaishi kwa dhiki shida na ufukara. mlikuwaa hamna vision na Mustaqabal kuandalia maisha bora ili na sisi tuendelee kuandalia maisha bora kizazi kijacho.
Mlikuwa mpompo tu kuendekeza anasa uchwara wakati vijana wengine wa wakati huo Singapore, Malaysia na South Korea walikuwa wanapiga mzigo na mikakati wakiangalia future ya kizazi kijacho na kweli walifanikiwa.
Nyie hadi leo mnatuacha tunaendeleakunya porini ambapo reli ya kisasa ya umeme inayogharimu matrilion ya mkopo SRG inakatiza.
Sasa mnatuletea mipicha na mivideo zenu humu chwara mkiendekeza anasa.
Bure kabisa mmetulostisha vibaya sana.
Rubbish ppyuuuMlikuwa mnaishi maisha ya hovyo sana bila Internet, betting, Fa premier league, uefa champions league, Whatsapp, bila Pizza, burger name them all.
Na ndio nyie vijana wa miaka iyo mmefanya sasa hivi kizazi chetu tunaishi kwa dhiki shida na ufukara. mlikuwaa hamna vision na Mustaqabal kuandalia maisha bora ili na sisi tuendelee kuandalia maisha bora kizazi kijacho.
Mlikuwa mpompo tu kuendekeza anasa uchwara wakati vijana wengine wa wakati huo Singapore, Malaysia na South Korea walikuwa wanapiga mzigo na mikakati wakiangalia future ya kizazi kijacho na kweli walifanikiwa.
Nyie hadi leo mnatuacha tunaendeleakunya porini ambapo reli ya kisasa ya umeme inayogharimu matrilion ya mkopo SRG inakatiza.
Sasa mnatuletea mipicha na mivideo zenu humu chwara mkiendekeza anasa.
Bure kabisa mmetulostisha vibaya sana.