Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Wewe ndo Dokta wangu🤣, hao kina Manyanza Wasije nionea wivu Waka kata mkono wangu wa mtoto😄😆Kwakweli mm nitakuwa mstari wa mbele kurecord ushauri utaotolewa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo Dokta wangu🤣, hao kina Manyanza Wasije nionea wivu Waka kata mkono wangu wa mtoto😄😆Kwakweli mm nitakuwa mstari wa mbele kurecord ushauri utaotolewa😂
But hiyo sehemu yake ni laini sana mkuu, Caustic pen ni kali Mkuu 🤔!!Yah zote ni viral disease ila kwenye hii silver nitrate pia inatumika kwaajili ya hizo blisters
Wivu tu😄😆, Aaliyyah nije nime ifunga plasta au uwe wazi tu🤣Intelligent businessman na Yeye anaumwa anataka akutumie WhatsApp umkague 😂😂😂
DR SANTOS herpes zinapona kweli? Mimi navyojua hazina tiba.View attachment 2939159
Hii inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na majimaji kutoka kwa mwanamke mwenye haya maambukizi after unprotected sex
Unaweza kutumia condoms Ila WAKATI wa kuivua ukajigusa na majimaji ya mwanamke jua unao..
Na upo very active upo very fasta mkuu yaani ukigusa imo 😊
Ukitumia dozi za moja wapo ya hizi doxycycline,tretracycline, cefixime 200mg ama 400mg atapona..
Hakuna haja ya other strong antibiotics
karibu usajili Chaputa utakua REG. yako inasoma 110000/L/CHP. wewe ni mwanachama wa laki 1.1Dah kwa haya mapele sitaki tena demu
Aisee Aaliyyah mkasi wa nini tena, 🤔, akati una takiwa kupuliza filimbi ili kuita ndege waje 🤓🤣😂Njoo nipo na mkasi nikiona Kuna kaugonjwa umekuathiri nakata chululu upumzike na majanga
Mgonjwa can take a trip to hell tu🤣😂Aaliyyah , intelligent man na Manyanza huu Uzi ni wa mgonjwa punguzeni masikhara nendeni chitchat 😂😂😂
Mungu humsaidia anayejisaidia.Aisee,Mungu tusaidie maradhi ni mengi mno
Kimasihara mlikuwa pamoja leo kaangukiwa na jumba bovu mnataka aende kuzimu dah 😂😂😂Mgonjwa can take a trip to hell tu🤣😂
Kila kitu kina consequences zake, Mungu hapa hauhusiki ni kitu chochote. Tuna akili ya kujua jema na ovuAisee,Mungu tusaidie maradhi ni mengi mno
HakikaKila kitu kina consequences zake, Mungu hapa hauhusiki ni kitu chochote. Tuna akili ya kujua jema na ovu
Ni kweliMungu humsaidia anayejisaidia.
Acha tu hiyo michezo mkuu. Hutabomoka popote ukiacha.
🤣🤣🤣 ni kama vile umeenda porini ukakuta maji ya mto au bwawa yametulia tuli/yametuama? Hayo maji ni hatari unaweza kuta yana viumbe hatari kuliko maji ya bwawa au mto yanayotililika..Neda hospital mkuu usichukue ushauri humu,hicho ni kitu serious mahali serious. Naogopa zaidi kusikia haviumi wala kuwasha.kitu chochote kisicho cha kawaida mwilini halafu hakina maumivu huwa ni hatari zaidi kuliko kinachouma
AminNi kweli