proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
picha hazifunguki kwangu cjui ni nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picha hazifunguki kwangu cjui ni nn
Dah intake radhi Mdogo wangu
Inawezekana ni jobless kumbe Babu zako waliacha maghorofa kariakoo na wewe umeamua kufanya joint venture na matajiri Wewe unakula kiulaini Kabisa 🤣🤣🤣Kaka Mimi ni jobless pro max, sema Hawa viumbe ishi nao kwa akili tu🤣🤣
Kaka Mimi nime kuonyesha picha tu😄, Sija sema nawe ni mwanachama🤣Dah intake radhi Mdogo wangu
Kaka daslam napasikia tu, Niko nanjilinjii 🤓Inawezekana ni jobless kumbe Babu zako waliacha maghorofa kariakoo na wewe umeamua kufanya joint venture na matajiri Wewe unakula kiulaini Kabisa 🤣🤣🤣
Hakuna sehemu wamesema Herpes ni bacterial infection..Antibiotics can usually treat the infection successfully....
Genital herpes is a common sexually transmitted infection (STI)
NB.
Antibiotics,
can cure many STIs caused by bacteria or parasites, such as gonorrhea, syphilis, chlamydia and trichomoniasis. Once you start antibiotic treatment, you need to finish the prescription..
Kwa uchache..
Hakuna sehemu wamesema Herpes ni bacterial infection..
Tunatumia dawa kama aciclovir tabs na cream/oint ambazo ni antiviral.
Hapo kusema antibacterials ndo zinazotumika umetupiga kamba.
Nenda hospitali utakuja pata majibu sio, wakishakwambia jina la ugonjwa utaenda kumuelekeza daktari ama?Hivi vipele nimeviona asubuhi sijui ni nini?
Haviwashi
Haviumi
Naomba kujua vimetokeaje kwenye uume wangu na nifanyeje kuviondoa?
View attachment 2939063
Sawa mkuu,Hakuna sehemu wamesema Herpes ni bacterial infection..
Tunatumia dawa kama aciclovir tabs na cream/oint ambazo ni antiviral.
Hapo kusema antibiotics zinatumika umetupiga kamba.
Çc. DarmianMkuu kwanza pole lakini hiyo ni STD sijui ulifanya uzinifu lini lakini tuache hayo
inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na maji maji na iwapo tu mtu unae shiriki nae tendo ana izo pia kwahiyo usipokuwa makini kwenye tendo au kutumia kinga kwa usalama ndio utokea hivo
Unaweza tumia kinga lakni kuwa makini unapovua pia
Unaweza tumia
tretracycline,
cefixime
lakini kwa matibabu zaidi nenda kituo cha afya kilicho karibu nawe
Mapele kwenye HOGO yanaashiria wewe ni RIJALI kweRi kweRi unazichapa papuchi hadi zinaomba toba.Unatumia mundende 😂😂😂😂
Sasa Dokta si ataomba aone 😂😂😂Mkuu kwanza pole lakini hiyo ni STD sijui ulifanya uzinifu lini lakini tuache hayo
inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na maji maji na iwapo tu mtu unae shiriki nae tendo ana izo pia kwahiyo usipokuwa makini kwenye tendo au kutumia kinga kwa usalama ndio utokea hivo
Unaweza tumia kinga lakni kuwa makini unapovua pia
Unaweza tumia
tretracycline,
cefixime
lakini kwa matibabu zaidi nenda kituo cha afya kilicho karibu nawe
💪💪💪💪💪💪💪.Kwani huu ni uume?
HIi inaweza Kuwa dermatitis herpetiformis..
au autoimmune blistering disease (pemphigus vulgaris au bellious pemphigoid)
Jaribu kutumia Acycrovir (Tabs na Cream)
Itakusaidia sana
Anaomba kukutumia WhatsApp ili umkague eti 😂😂😂Kwakweli mm nitakuwa mstari wa mbele kurecord ushauri utaotolewa😂
Intelligent businessman na Yeye anaumwa anataka akutumie WhatsApp umkague 😂😂😂Sasa Dokta si ataomba aone 😂😂😂
🤣🤣🤣Anaomba kukutumia WhatsApp ili umkague eti 😂😂😂
Adabu yake ni -0 aisee 😅