PICHA: Huu ni ugonjwa gani sehemu za siri?

PICHA: Huu ni ugonjwa gani sehemu za siri?

Siumwagi magonjwa ya kizembe kama hayo Mimi kwa sababu siendeshwi na mihemko, ugonjwa unaonisumbia mara nyingi ni mafua ambacho hunisababishia kikohozi tu. Nipo makini sana na haya mambo ya Kimasihara tena nimeyapa kisogo kabisa. Namsubiri mwenye ubavu wangu ajitokeze.
Je Kama huo ubavu wako una ma x kibao ambao bado wanamla?
 
Punguza hype basi, Eti 2012 sema huendi kupima ndo maana hujui😄.

Kaka Mimi Mwaka Jana ninge vuta malaika wangu, Sena ndo hivyo tu.
Sio hivyo nimeikomesha kabisa kwa sababu Kuna Jamaa mmoja aliniambia enzi hizo za 2012, piga nyungu yaani nichukue majani ya Mwarobaini nijifushe na niliifanya vile, inaua vidudu vyote vya malaria ni inaweka Kinga kwa mujibu wa Jamaa na huwa silalii net hata kama Kuna mbu kama inzi wa ferry mchana
 
Genital herpes Hio, ukaenda hospital Kuna dawa wanakupa kui control, hivi vipele vitapotea na kurudi tena hata baada ya mwaka, kiufupi genital herpes Haina Tiba ya kuimaliza kabisa, ukishapata utaishia nayo mpaka ufe, ila vipele hivyo vitakua vinatokea na kupotea
Hakika
 
Sio hivyo nimeikomesha kabisa kwa sababu Kuna Jamaa mmoja aliniambia enzi hizo za 2012, piga nyungu yaani nichukue majani ya Mwarobaini nijifushe na niliifanya vile, inaua vidudu vyote vya malaria ni inaweka Kinga kwa mujibu wa Jamaa na huwa silalii net hata kama Kuna mbu kama inzi wa ferry mchana
Utakuja kufa vibaya 😀🤣, nyungu ya Mara 1 ndo ikupe protection ya miaka 12 🤓
 
Back
Top Bottom