PICHA: Huu ni ugonjwa gani sehemu za siri?

DR SANTOS herpes zinapona kweli? Mimi navyojua hazina tiba.
 
Neda hospital mkuu usichukue ushauri humu,hicho ni kitu serious mahali serious. Naogopa zaidi kusikia haviumi wala kuwasha.kitu chochote kisicho cha kawaida mwilini halafu hakina maumivu huwa ni hatari zaidi kuliko kinachouma
🤣🤣🤣 ni kama vile umeenda porini ukakuta maji ya mto au bwawa yametulia tuli/yametuama? Hayo maji ni hatari unaweza kuta yana viumbe hatari kuliko maji ya bwawa au mto yanayotililika..

Huyo jamaa asichukulie poa kuwa mbona haviumi ni hatari sana bora angekua anapata maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…