Picha: Huyu ndo mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda..!

uswahilini wanaitwa "watoto wa dawa" japo huyu ni mtoto wa dawa za kizungu haibidirishi ukweli kuwa ni mtoto wa dawa
 
Mungu amwongoze Keagan, ampe afya njema na amjaalie ufahamu (asifate akili za baba yake)[emoji18]

Ila mdomo kama wa Diamond Platnumz huo, au macho yangu yameanza kunidanganya.
 
ili awakomeshe zaidi ...aongeze mwingineπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Miaka7 ya ndoa?mtt m1?mtt mwenyewe ndo anamiezi5 hajafikisha?kweli kupanga ni kuchagua,walokua wanasema jogoo wake mzembe naweza kuamini kidogo maana kibongobongo umalize miaka miwl ya ndoa bila kua na tumbo utasemwa na mawifi mpk ujute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…