Picha inayohusishwa kuwa ni Joshua akiwa katika gwanda za Jeshi la Israel

Picha inayohusishwa kuwa ni Joshua akiwa katika gwanda za Jeshi la Israel

Hamas ni kikundi tu kinachoipigania Palestina, hakina silaha za kisasa wala watu wenye utalaam na vita zaidi ya vijana walioamua kuingia front kuipambania nchi yao dhidi ya uvamizi kulingana na tafsiri yao.

Hamas kupenya kuingia Israel huwa ni nafasi adhimu kwao kulingana na ulinzi wa kisasa wa Israeli, hili limewafanya kila waingiapo basi wafanye lolote ndani ya Israel ili wamkere adui yao na kuona wamempa pigo.. Hali hii ndio imeifanya Israel nayo kuwa eneo hatarishi.

Watu wanaouwawa na Hamas ni wengi sana na kwa namna tofauti tofauti, ila tujiulize ni kwanini clip hii imeachiwa na sio zile za Wazungu wakiuwawa na Hamas? inamaana siku hiyo Hamas walimuua huyu kijana peke yake, tufikirie mengi kidogo na tuzifanye bongo zetu kuwa huru kidogo.

Kilichomkuta ndugu yetu ni kilekile tunachosema "Vita haina macho"
wamesema wanaua raia wa kigeni kvtuma ujumbe kuwa israel sio sehemu salama kwa hyo watu wasiende [/QUOTE]wamesema wanaua raia wa kigeni kvtuma ujumbe kuwa israel sio sehemu salama kwa hyo watu wasiende huko.
 
Hvii inakuwaje mtu unaua mwenzio kikatili hivi au kwa sababu mweusi ?hebu fatilien kwa kina huyo kijana ni nani najuta sana kuangalia hiyo video halaf et wanasema Mungu Mkubwa?Mungu huyu huyu anaekataa kuua laa!
Wamemsurubu yesu, mwana wa Mungu itakuwa wewe binadamu wa kawaida.
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
Kwa taarifa yako, kwa sababu za Usalama, Israel hawapokei askari ambao siyo damu ya Israel. Inawezekana huyo ni kati ya waisraeli wazaliwa wa Ethiopia na ana kitambulisho cha uraia wa israel.
 
Tofautisha kati ya Raia na Hamas
Mkuu kinachoharibu zaidi ni hiyo picha ya mtu aliyevaa magwanda ikidaiwa ni joshua hapa ndo watu watapata uhalali kwanini mnatumia nguvu nyingi kutetea.

Unaweza kuwa na hoja ila hio picha ya mtu aliyevaa gwanda hata mtoto anaona ni ardhi na mbingu.
 
Umeshindwa kung'amua kwamba hizo picha 2 moja wakimuua na hiyo nyingine wako pamona ni watu tofauti kabisa.
Huyu mleta mada atakuwa mdini. Kwenye chupi ya kijeshi hapo sawa, ila kingine hao wauaji wanaweza wakawa wayahudi wenyewe. Ila kilichomponza kabisa Joshua ni Nguo ya kijeshi
 
Dini mnaisingizia sana...
Hao Waisraeli mnaowatetea wenyewe hawako kwenye dini...
70% wanamsubiria Yesu aje kwa mara ya kwanza🤣
Waislam wanaowaona ni wavamizi hapo Israel wako 18%,
Na wao Ndugu zao wenyewe huko wako 2% tu
 
Mleta mada hebu usiendelee kuthibitisha upumbavu wa ndugu zetu katika imani acha sio lazima useme uongo kutetea watu ambao hata ww wakikukuta hawakuachi salama ww ni kafiri tu kwa wenye dini yao acha mihemko huna unaloweza fanya wakakuona wa maana
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
JOshua alikwenda Israel 28/9/2023 kujifunza Kilimo Kwa Vitendo. Wanaofahamu hiyo Nchi wanasema Ukanda huo ni mpaka wa Israel na Gaza kama 2km panaitwa Kibutuz. Huko ndiko kuna Mashamba ya kisasa ya Kilimo. Ilikuwa zamu ya Joshua na Clemence hiyo Siku ya Jumapili kwenda mafunzo. Haingii akilini wiki mbili tuu Kutoka kuwa Mwanafunzi wa SUA na kuwa Mwanajeshi wa IDF. Kwa hiyo SUA ni agent wa IDF?? Hawa ni Watanzania Wenzetu walikuwa Ugenini Masomoni hawakuwa na Baya na yeyote. Waarabu wakawaua bila Huruma. Hiyo Nguo ya Ndani inawezekana alinunua huku Tanzania toka China. Zipo madukani kibao Nguo hizo za Rangi ya jeshi.
 
Waliomuua gadafi walijirekodi wenyewe kwa kutumia simu zao na kisha kusambaza picha na video, wafuasi wa mnyanzi mungu hawajawai kuwa na akili mkuu,
Tatizo la elimu yetu ya kukariri? Nauliza hivi kwa sababu situation hazifanani hata kidogo.
 
JOshua alikwenda Israel 28/9/2023 kujifunza Kilimo Kwa Vitendo. Wanaofahamu hiyo Nchi wanasema Ukanda huo ni mpaka wa Israel na Gaza kama 2km panaitwa Kibutuz. Huko ndiko kuna Mashamba ya kisasa ya Kilimo. Ilikuwa zamu ya Joshua na Clemence hiyo Siku ya Jumapili kwenda mafunzo. Haingii akilini wiki mbili tuu Kutoka kuwa Mwanafunzi wa SUA na kuwa Mwanajeshi wa IDF. Kwa hiyo SUA ni agent wa IDF?? Hawa ni Watanzania Wenzetu walikuwa Ugenini Masomoni hawakuwa na Baya na yeyote. Waarabu wakawaua bila Huruma. Hiyo Nguo ya Ndani inawezekana alinunua huku Tanzania toka China. Zipo madukani kibao Nguo hizo za Rangi ya jeshi.
Hili la kusema alikuwa mwanajeshi ni propaganda mfu. Pia kuwa na underwear yenye rangi kama kombati za jeshi nalo ni ujinga kwani zipo madukani kibao. Hata hivyo, hizo clips bado zina utata. Ni nani ameamua kuzi-publish kwenye social media wakati zinaonyesha unyama mkubwa kiasi hicho kwa mtu asiye na hatia na lengo lake ni nini? Zilipatikana namna gani na ni nani alizirekodi?
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
Hizi za kubumba. Nitumie picha yako nikuweke hapo.
 
Hili la kusema alikuwa mwanajeshi ni propaganda mfu. Pia kuwa na underwear yenye rangi kama kombati za jeshi nalo ni ujinga kwani zipo madukani kibao. Hata hivyo, hizo clips bado zina utata. Ni nani ameamua kuzi-publish kwenye social media wakati zinaonyesha unyama mkubwa kiasi hicho kwa mtu asiye na hatia na lengo lake ni nini? Zilipatikana namna gani na ni nani alizirekodi?
mkuu hamas wametoa tamko kuwa wanaua raia wa kigen kvtuma ujumbe kuwa israel sio sehemu salama ya kwenda. ambacho huelewi nini we mvaa kobaz
 
Umeandika ujinga ujinga HATA ujui Joshua alifata nini Kule,alienda kujifunza mambo ya KILIMO sasa siku nyingine uache kukurupuka
Inawezekana alikwenda kujifunza kilimo ila kutokana na tamaa ya kutaka kuwa Myahudi na kuishi kule akajiunga na jeshi hilo.
 
Back
Top Bottom