Nchi hii kwa sasa wanaofanya utulivu uliopo sasa ni chadema.
Mchezo gani walishasomaZibitisha mkuu, mimi naona chadema walishasoma mchezo tu kuwa wawe waungwana maana hakuna namna.
Tulikuwa tunamchora tu angenyakuliwa kama kifaranga...Mkuu nilimwona kwenye mkutano wa Lissu pale Lamadi....nikajiuliza hivi huenda hakujua kama ametinga na hiyo jezi.
Nilimuona huyo jama asbh, Kama vile alijishitukia! lakini baadae aliendelea kumskiliza kamanda Kisu akishusha nondo za ukweli!! Kwanza alianza mgombea ubunge ndg Komanya akishusha nondo!!CDM rahaaaa!!Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!
Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?
Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Kama nyie mmeelimika kwa nini mnalialia?Chadema wameelimika!! Ccm washamba!!
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!
Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?
Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Hata sasa umejibu kishamba!!Kama nyie mmeelimika kwa nini mnalialia?
Chadema hatuna muda na Majambazi ya CCMNimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!
Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?
Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Atakuwa amevua na kulitupa baada ya sindano na Nondo za Lissu kupenya katika nafsi yake.View attachment 1601422
Kapotelea wapi? Hilo ndilo swali!
View attachment 1601422
Kapotelea wapi? Hilo ndilo swali!
Washamba hao!!Kada wa Chadema angekuwepo kwny mkutano wa CCM kungetokea kitu kama hiki.View attachment 1601408
Atakuwa amevua na kulitupa baada ya sindano na Nondo za Lissu kupenya katika nafsi yake.View attachment 1601422
Kapotelea wapi? Hilo ndilo swali!
Jamaa lina mdomo ka wa mamba una mapengo mapengo fulani hivi ka kiboko.Hahahhaaj huyo mwenye T shirt nyekundu kaniacha hoi.... Alitaka kummeza ama....
Ewe 'kiazi mbatata', unaweza kuonyesha ni wapi wanalialia?Kama nyie mmeelimika kwa nini mnalialia?