Uchaguzi 2020 PICHA: Ingetokea kada wa CHADEMA ndiye angetinga hivi kwenye mkutano wa mgombea wa CCM, angetoka salama?

Uchaguzi 2020 PICHA: Ingetokea kada wa CHADEMA ndiye angetinga hivi kwenye mkutano wa mgombea wa CCM, angetoka salama?

Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
CCM MATAGA ni chama cha wahuni.

wameiharibu CCM yetu ya Mwalimu (RIP mzee wetu).
 
Anaweza akawa pia ni team ya Lisu, achana na mavazi kuna mengi sana nyuma ya pazia
 
Uchaguzi wa 2010 mlikua mnajeruhi vibaya mno. Hata kama mtu anajipitia njian pasipo na mkutano mnamzomea na kumfanyia fujo.Mambo yamebadilika mmebaki walalamikaji.
 
Hata hivyo nadhani tusimhukumu bila kujua kwa undani alifuata nini kwa sababu wakati anasogea Mh. Tundu Lissu alikuwa anabamiza spana si mchezo. Yawezekana alikuwa kanogewa hivyo alikuwa anasogea karibu apate hizo nondo. Lakini pia tuwe tunachukua tahadhari hasa ninapokumbuka hii video hapa chini...

View attachment 1601454
Hawa vijana ni magaidi...

Daaah! Hawa Punda hawana akili kabisa,yaani umue mtanzania mwenzako ambaye ni mpinzani kisheria/ki-katiba kisa siasa uchwara,ukishakua mwana CCM akili ndiyo basi tena,labda uwe nazo zakuvukia barabara tu.
 
Mimi nauliza tu sina maana mbaya, hivi hii mikutano ya kila siku karibia mwezi wa pili huu na mikutano ni kutoka asubuhi mpaka jioni na wanajaza sio ishara kwamba watu wengi hawana kazi? au uzalishaji nchi hii unafanywa na wachache wengi tupotupo tunasindikiza tu. Maana sipati picha kweli nikashinde siku nzima sehemu hata kama harusi tunafanya au sherehe yoyote tunafanya siku za weekend au nje ya muda wa kazi. Hii ni ishara mbaya kwa kweli...
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Mbona anaonekana amesimama mahali pamoja?? Na haongei na simu
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Delete ccm Oct 20
 
Kawe nilikuwa nimezungukwa ni vijana wakutosha wa CHADEMA wakiwa ndani ya Kofia na mavazi yao.

Mbona ni Jambo la kawaida sana hilo.

Wenzenu wanalalamika kule ya kuwa mgombea wao yupo Mwishoni kabisa katika karatasi ya kupiga kura.[emoji23]
Sijui wanahisi matokeo nayo yatakuwa hivyo.
Picha ziko wapi ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Kumbe ujaelewa sasa hao unaowaona hapo wamekuja kumshangaa lisu ila ni CCM pure.hauwezi ukavaa nguo za ccm kwa wanachadema wakaacha kukuzomea kamwe.
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Kwani huwa hawaendi, ueye kavaa nguo yake kisha mkutani umemkuta amevaa sasa asiende kisikiliza?
Na kama atavutiwa na sera za chama hapohapo si ndio angevua jezi akapewa gwanda?
Kwani wale watu wanovua nguo na kuvaa za chama kipya huwa wameandaliwa au huvutiwa na sela na palepale anabadilisha na huo ni kitu ya kawaida tu.
 
Kawe nilikuwa nimezungukwa ni vijana wakutosha wa CHADEMA wakiwa ndani ya Kofia na mavazi yao.

Mbona ni Jambo la kawaida sana hilo.

Wenzenu wanalalamika kule ya kuwa mgombea wao yupo Mwishoni kabisa katika karatasi ya kupiga kura.😂
Sijui wanahisi matokeo nayo yatakuwa hivyo.
Hilo nalo neno
 
Back
Top Bottom