Uchaguzi 2020 PICHA: Ingetokea kada wa CHADEMA ndiye angetinga hivi kwenye mkutano wa mgombea wa CCM, angetoka salama?

Uchaguzi 2020 PICHA: Ingetokea kada wa CHADEMA ndiye angetinga hivi kwenye mkutano wa mgombea wa CCM, angetoka salama?

Kawe nilikuwa nimezungukwa ni vijana wakutosha wa CHADEMA wakiwa ndani ya Kofia na mavazi yao.

Mbona ni Jambo la kawaida sana hilo.

Wenzenu wanalalamika kule ya kuwa mgombea wao yupo Mwishoni kabisa katika karatasi ya kupiga kura.😂
Sijui wanahisi matokeo nayo yatakuwa hivyo.
Ndiyo mnadamganyana na MATAGA wenzio,hamjui WANANCHI siyo wale wa Zama za mawe
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Hawa masikini wanatumika kama chambo ili wakong'otwe tulete shida
 
Hata hivyo nadhani tusimhukumu bila kujua kwa undani alifuata nini kwa sababu wakati anasogea Mh. Tundu Lissu alikuwa anabamiza spana si mchezo. Yawezekana alikuwa kanogewa hivyo alikuwa anasogea karibu apate hizo nondo. Lakini pia tuwe tunachukua tahadhari hasa ninapokumbuka hii video hapa chini...


Hawa vijana ni magaidi...
 
Hata hivyo nadhani tusimhukumu bila kujua kwa undani alifuata nini kwa sababu wakati anasogea Mh. Tundu Lissu alikuwa anabamiza spana si mchezo. Yawezekana alikuwa kanogewa hivyo alikuwa anasogea karibu apate hizo nondo. Lakini pia tuwe tunachukua tahadhari hasa ninapokumbuka hii video hapa chini...

View attachment 1601454
Hawa vijana ni magaidi...

Kauli kali kabisa hii kutolewa hadharani ,CCM ni wauaji wakubwa na ukizingatia wana Serikali inakuwa yale yale ya Bashiru .
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM
Hata club huwa yanaingia mamanzi hata mia hayana. Sasa kuondoa aibu ya kuchuniwa na kila mtu huwa yanajifanya kuongea na simu wakati kuna makelele kumbe yanazuga tu. Ndicho kilichotokea kwa hili jeba! Yani hapo lilijikuta kama liko uchi chekwaaaa sasa kuua soo likajifanya mara kupiga simu au kuwasiliana na mtu ili lionyeshe nalo ni somebody ni sawa na parcel tu! Usipate shida na hizi mbwa zetu koko inayobweka usiku ili kupata justification ya kutupiwa tonge la ugali.
 
Hata hivyo nimepatwa na wasiwasi huyu mtu nafikiri siyo salama. Hisia zangu tuu
 
Mbona hatuoni akiwasiliana na mtu??? Au unamaanisha huyo jamaa wa nyuma mwenye kofia nyekundu?
Wewe lazima utakuwa MATAGA, hebu jaribu kutumia akili kidogo...ama anaripoti kwa bosi wake Lumumba au kama ni katika wale wasiojulikana anawasiliana na bosi wa kikosi. Itazame kwa makini pia hiyo kofia, inakupa picha gani?
 
Hata hivyo nimepatwa na wasiwasi huyu mtu nafikiri siyo salama. Hisia zangu tuu
Alivyo mjinga, watu wameshamsoma kitambo. Hawa watu wanaotumiwa wakati mwingine ni zero brain, unajianika hovyo namna hiyo! Ama hivyo au kama alivyotoa wazo jamaa moja, anatafuta shari. Nikikumbuka ile cinema ya kihindi ya Mbatia, yawezekana kuna kitu kinasukwa. Chadema wawe makini sana.
 
Wewe lazima utakuwa MATAGA, hebu jaribu kutumia akili kidogo...ama anaripoti kwa bosi wake Lumumba au kama ni katika wale wasiojulikana anawasiliana na bosi wa kikosi. Itazame kwa makini hiyo pia hiyo kofia, inakupa picha gani?
Kwani MATAGA wamekufanyeje? Unaonekana unawaogopa sana
 
Huwa unajimwambafai kuwa na hekima lakini kwa hii post nimehitimisha mashaka yangu pasi na shaka yeyote juu yako.
 
Huwa unajimwambafai kuwa na hekima lakini kwa hii post nimehitimisha mashaka yangu pasi na shaka yeyote juu yako.
Acha kurukaruka jibu swali, Ingetokea kada wa CHADEMA ndiye angetinga hivyo kwenye mkutano wa mgombea wa CCM, angetoka salama?
 
Nimemfuatilia sana huyu jamaa kwenye mkutano wa Chadema uliokuwa unahutubiwa na Mh. Tundu Antiphas Lissu, alivyokuwa anahangaika, mara atoe kiredio chake mfukoni kama vile anawasiliana na mtu asiyeonekana, mara atafute namna ya kusogea karibu zaidi na alipo Mh. Lissu, mara atafute nafasi ya kusikia vizuri zaidi anayasema...lakini wana Chadema hata hawakuhangaika naye!


Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?

Nawavulia kofia wana Chadema kwa kutomjali huyu na kutohangaika naye katika hizo juhudi zake hizo pamoja na kuvaa fulana ya hapa kazi tu na. kofia ambayo yawezekana ni ya wana Usalama au vijana wa UVCCM

YUVISISIEMU na lichama lao ni wakorofi,siasa hawawezi wamebakiza kufanya vurugu na kubebwa na NECCM na POLICCM tu.
 
Sasa nikabaki najiuliza, je hali ingekuwaje kama mwana Chadema ndiye angetinga katika mkutano wa CCM na magwanda yake halafu mara anapiga picha, mara kama vile anawasiliana na mtu, mara anajaribu kusogea na alipo mgombea...je kweli angetoka salama?
Kama sio chizi basi katumwa kama chambo kunasa samaki kwenye ndoana.

Kapelekwa hapo maksudi ili apate kipigo, na hiyo iwe sababu ya kudai CHADEMA wanatishia 'AMANI'; ile amani wanayoifahamu CCM na viongozi wao wa dini na IGP.
 
Back
Top Bottom