Sema fazaa alijaa kizembe sana,personally mwanamke aliyepiga pic na bwana'ake kama hivi siwezi okota nikaweka ndani even ndugu yangu yeyote kumjua.Hiyo si picha ya kitambo sana kabla mzee machache hajamuoa k lyn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema fazaa alijaa kizembe sana,personally mwanamke aliyepiga pic na bwana'ake kama hivi siwezi okota nikaweka ndani even ndugu yangu yeyote kumjua.
Hawaachanagi hawa maneno ya wazee yana nguvu sana.
Kama video za gwajimaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo si picha ya kitambo sana kabla mzee machache hajamuoa k lyn
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Kama video za gwajimaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hatari sanaGwajima ndio anakula hiinkitu. Duh shikamoo ela
Mrudisheni Mdude Chadema.. akiwa haiJamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.
Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .
Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger .
Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.
Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091184View attachment 1091185View attachment 1091186
Madame alimzawadia kitumbua waziri kijana wa enzi zile. Madam na Klyn walikua ma best, mzee hakwenda mbali.Angebaki na madan Rita
Because he was too decent for that.Mi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
Labda azimie kwa kupoteza ATMMm Jana niliuliza kuwa mastaa hawaliii? Kweli jack pale airport alistahili kuzimia, nashangaa leo waremavu wanazimia Jacky katulia tuliiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuona hapo leo kipele kimempata mkunaji, mara kwa mchungaji mara urudi kwa huseni pamba kali.Bado hajamaliza K-Vant
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuona hapo leo kipele kimempata mkunaji, mara kwa mchungaji mara urudi kwa huseni pamba kali.
Mwezi mtukufu huu ujue shauri yako.
Unamaana kaka yake na yule binti wa Tanga?Madam alimzawadia kitumbua waziri kijana wa enzi zile. Madam na Klyn walikua ma best, mzee hakwenda mbali.
Hayo ndiyo mambo ya mujini.
Hapana huyo alikuwa waziri kamili enzi za JKUnamaana kaka yake na yule binti wa Tanga?