Uzuri wa jamii forum watu wengi wanaojiunga regardless age ni watu smart sana mzee huwez kuta ushenzi ushenZ kama Instagram labda mtu apost anatikisa matako
Ndio raha ya utandawazi, tunajochanganya watu wa rika zote bila kubaguana, sasa kama mzee kama mimi naweza kukutongoza na kukuweka...🤪dunia inaenda kasi sana!