PICHA: Je Unaikumbuka Jambo Forums? Ulikuwa Wapi enzi hizo?

PICHA: Je Unaikumbuka Jambo Forums? Ulikuwa Wapi enzi hizo?

Heshima yako mkuu,. Laah 🤔🤔

Sema zamani mlikua mnaajiriwa mkiwa bado wadogo,.
Nimeajiriwa Nikiwa na Miaka 31 😀😀
Hapo Nishachanganyikiwa na Shule..
Chuo nishapiga Miaka 6 Kitaa nishahustle kama Miaka 4 au mitano hivi ndo nikapata Ajira ya Serkali..
😅😅
Nilibakiza Miaka 14 Iwe Kikomo cha Kuajiriwa Serkalini so Niliajiriwa na Miaka 31..
 
🤣🤣🤣
BEFORE nilikuwaga na I'd inaitwa
Fellow Tablet
Kabla ya hiyo nilikuwa na I'd inaitwa King Julien na kabla ya King Jullien nilikuwa na I'd inaitwa Lora hebu piga mahesabu hapo. Hivi unajua humu Jamiiforums tulikuwa kwenye mchakato wa kuanzisha Jamii Empowerment Saccos? Halafu mimi nilikuwa ni moja ya waandamizi?

Mimi ni Kikongwe ujue 😀😀😀
Ehh Lora?? Mkuu hiyo lora si id ya kike? 😹😹😹
Ulikuwa unaombea afu tatu za watu pm Manyanza 😹🤣🤣
 
Nimeajiriwa Nikiwa na Miaka 31 😀😀
Hapo Nishachanganyikiwa na Shule..
Chuo nishapiga Miaka 6 Kitaa nishahustle kama Miaka 4 au mitano hivi ndo nikapata Ajira ya Serkali..
😅😅
Nilibakiza Miaka 14 Iwe Kikomo cha Kuajiriwa Serkalini so Niliajiriwa na Miaka 31..
Aah baaasi inatosha .So Ur turning 53 this year🧐
Kweli tuko na wazazi humu
Heshima yako mkuu🙋‍♀️
 
Back
Top Bottom