Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Muheshimiwa, hebu tupo nondo. Hiyo darhotwire ilikuwaje kuwaje? we
Ulikuwa mtandao wa habari lakini pia una chatrooms, yahoo walikuwa nazo pia...
Unaingia chatroom, unakuta kuna raia wapo tayari kuchat unaanzisha maongezi...
"ASL" wakongwe watakumbuka hii 😂