min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sio mzee kihivyo mkuu😁😁Dah.!! 😹
Unataka kukataa mara hii?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mzee kihivyo mkuu😁😁Dah.!! 😹
Unataka kukataa mara hii?!!
Kha! Ndio kuzaa gani hukoUmeanza dharau dogo, wewe nakuzaa huku napiga deki mfyuuu 😹🤣🤣
Hutaki uzee 😹😹Sio mzee kihivyo mkuu😁😁
Hata Tundu Lisu yupo tokea mwanzo kabisa.Kuna moja hili nilipita kuchek naona kina mbowe, mnyika, kitila mkumbo 2006 kabisa walikuwemo wakitumia majina yao halisi😅Sasa nawaza mtu mzima mbowe Sasa hv anatumia Jina gani?
😹😹😹Kha! Ndio kuzaa gani huko
Rinda box au V 😹Hahaha kumbe we ni katoto mwaka huo nipo zangu form one na sketi yangu ya marinda
Nawe ulikuwa toddler kama Leejay49 ?Kipindi hicho sijaanza hata darasa la kwanza. Lakini sasa ni kijana with a Bachelor degree.
Heshima kwenu Nyani Ngabu , Kiranga nk
Aiseee kumbe humu tunaombwa hela na watoto wetu kabisa 🤣🤣🤣🤣Duuh,. Ila kuna watu ni wazamani sana humu aisee 2006 parefu nyie
Sidhani kama nlikua najua vingine ukiachana na jina langu,. Labda na A for Apple😂😂
Alikuwa anapewa pacifier anyonyeNawe ulikuwa toddler kama Leejay49 ?
Hata Tundu Lisu yupo tokea mwanzo kabisa.
I think basi wakati wenu jamii forum was the bestie era mzee
Cocochanel umemaliza FOM FOO mwaka gani?😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Kabisa aisee! Nimecheka sana leo.Alikuwa anapewa pacifier anyonye
Kheri ya mwaka mpya babu💐Je Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
View attachment 3204571
🤣🤣🤣🤣 Alafu wanatuambia eti tafuta pesa, watoto hawa hawana adabu kabis.Kabisa aisee! Nimecheka sana leo.
2006 Nipo humu nagombana na akina Raj Patel na Nyama Hatari, Leejay49 yeye anafyonza pacifier na kunywa juisi kwenye sippy cup 🤣.
Hongera,Kipindi hicho sijaanza hata darasa la kwanza. Lakini sasa ni kijana with a Bachelor degree.
Heshima kwenu Nyani Ngabu , Kiranga nk
Nilikua naitwa ndiyomtamJe Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
View attachment 3204571